Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,536
- 643
Juzi wakati Mheshimiwa Waziri wa ndani akihutubia maafisa wa juu wa vyombo vya ulinzi aliwauliza ni wangapi wana ilani ya chama na wanyooshe juu.
Wakabaki kutazamana tu kila mtu anamuangalia mwenzake.
Hivi jamani Afisa wa polisi, magereza, uhamiaji au zimamoto anatakiwa k
Nadhani baada chama kushinda Kinaanda muongozo wa jinsi yq kutekeleza ilani yake. Inaweza kuwa mipango ya vipindi vjfupi au virefu, pamoja na kuwakilishwa kwenye budget bungeni. Ilani haionyeshi jinsi ya kutekeleza ahadi. Hivyo watumishi hawahitaji kuwa na ilani ila mipango ya serikali iliyoanishwa kwa utekelezaji.Juzi wakati Mheshimiwa Waziri wa ndani akihutubia maafisa wa juu wa vyombo vya ulinzi aliwauliza ni wangapi wana ilani ya chama na wanyooshe juu.
Wakabaki kutazamana tu kila mtu anamuangalia mwenzake.
Hivi jamani Afisa wa polisi, magereza, uhamiaji au zimamoto anatakiwa kutembea na Ilani ya chama?
Maana kwa mujibu wa katiba wao wanatumia sheria ya kulinda serikali na wananchi bila kufuata ilani yoyote.
Je, huyu waziri anajua majukumu ya jeshi au ndio utaratibu Mpya?
Alloooo!!!!!!!