Hili la wahaya kushirikiana mke mbona ndiyo nasikia kwa mara ya kwanza!!

Jamani naendelea ku-compile data. Baada ya muda nitazimwaga humu jamvini watu wajionee wenyewe kuhusu hako kamchezo kachafu ka wahaya.
 
Inawezekana habari hii ina ukweli ndani yake. Si kwa shemeji 2 hata kaka na dada, huwa wanasema kabila hili huwa hawanyimani. Ninamfahamu dada mmoja ana uhusiano na kaka yake (Mtoto wa baba mdogo) hapa Dar. Hata wakikutana ugenini kama nchi za nje na mikoa ya mbali wakijua wanatoka kabila moja huwa hawanyimani... They say..
 
Wandugu,

Leo nimeipata stori ambayo imeniacha mdomo wazi mpaka napoandika thread hii. Eti enzi zile jamaa wa kihaya akioa mke na bahati mbaya au nzuri akisafiri, wadogo zake wa tumbo moja wakizidiwa ni ruksa kupata huduma kwa shemeji yao bila wasiwasi. Jamaa aliyetumegea hii stori anasema kwamba haka katabia ndiyo kaliwapukuta wahaya wengi sana wakati UKIMWI ulipopiga hodi mkoa wa Kagera. Haya wataalam wa makabila na wahaya original, mnasemaje? Je, kuna ukweli wowote kuhusu suala hili?

Dumelambegu,

Wewe ni TASA au MGUMBA?
 
Inawezekana habari hii ina ukweli ndani yake. Si kwa shemeji 2 hata kaka na dada, huwa wanasema kabila hili huwa hawanyimani. Ninamfahamu dada mmoja ana uhusiano na kaka yake (Mtoto wa baba mdogo) hapa Dar. Hata wakikutana ugenini kama nchi za nje na mikoa ya mbali wakijua wanatoka kabila moja huwa hawanyimani... They say..

Inashangaza jinsi jumuiya ya mashoga/GAY inavyokua kwa haraka hapa Tanzania!
 
Inawezekana habari hii ina ukweli ndani yake. Si kwa shemeji 2 hata kaka na dada, huwa wanasema kabila hili huwa hawanyimani. Ninamfahamu dada mmoja ana uhusiano na kaka yake (Mtoto wa baba mdogo) hapa Dar. Hata wakikutana ugenini kama nchi za nje na mikoa ya mbali wakijua wanatoka kabila moja huwa hawanyimani... They say..


Wewe umetumwa??? Unaongea nini hapo. Acha upuuzi hapa alahhh
 
Wandugu,

Leo nimeipata stori ambayo imeniacha mdomo wazi mpaka napoandika thread hii. Eti enzi zile jamaa wa kihaya akioa mke na bahati mbaya au nzuri akisafiri, wadogo zake wa tumbo moja wakizidiwa ni ruksa kupata huduma kwa shemeji yao bila wasiwasi. Jamaa aliyetumegea hii stori anasema kwamba haka katabia ndiyo kaliwapukuta wahaya wengi sana wakati UKIMWI ulipopiga hodi mkoa wa Kagera. Haya wataalam wa makabila na wahaya original, mnasemaje? Je, kuna ukweli wowote kuhusu suala hili?
kashaijamatege...ooooops m soreee...Kashaibutege....shusha nondo hapa...!!!!
 
Hiiiiiii ni kweli,ilikuwa sehemu ya mila,tatizo mila hii imepungua nguvu kwa sababu ya AKAUKA(uKIMWI).
HII ILIONYESHA USHIRIKIANO,KAMA NDUGU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom