Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wandugu,
Leo nimeipata stori ambayo imeniacha mdomo wazi mpaka napoandika thread hii. Eti enzi zile jamaa wa kihaya akioa mke na bahati mbaya au nzuri akisafiri, wadogo zake wa tumbo moja wakizidiwa ni ruksa kupata huduma kwa shemeji yao bila wasiwasi. Jamaa aliyetumegea hii stori anasema kwamba haka katabia ndiyo kaliwapukuta wahaya wengi sana wakati UKIMWI ulipopiga hodi mkoa wa Kagera. Haya wataalam wa makabila na wahaya original, mnasemaje? Je, kuna ukweli wowote kuhusu suala hili?
Leo nimeipata stori ambayo imeniacha mdomo wazi mpaka napoandika thread hii. Eti enzi zile jamaa wa kihaya akioa mke na bahati mbaya au nzuri akisafiri, wadogo zake wa tumbo moja wakizidiwa ni ruksa kupata huduma kwa shemeji yao bila wasiwasi. Jamaa aliyetumegea hii stori anasema kwamba haka katabia ndiyo kaliwapukuta wahaya wengi sana wakati UKIMWI ulipopiga hodi mkoa wa Kagera. Haya wataalam wa makabila na wahaya original, mnasemaje? Je, kuna ukweli wowote kuhusu suala hili?