Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
WanaJF,
Kwa hakika wengi wenu mnaoshiriki mijadala sehemu mbalimbali na humu JF mtakubaliana na mimi kuwa wafuasi wa Chadema wamekuwa na jazba na hasira muda wote na hali hii imesababisha wao kutoa matusi na kejeli kwa mtoa mada badala ya kujenga hoja.
Hali hii haijaanza leo kuna wadau walishawahi kuhoji hii tabia ya jazba takribani miaka zaidi ya mitano iliyopita bila kupata majibu.Rejea hapa chini.https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-pro-chadema-wana-hasira-kila-wakati.576286/page-2
Kwanini Wana-CHADEMA wengi wao Wana jazba?
Je hii ni hulka tu au ni sera ya chama? Nini kifanyike kurekebisha hili?
Tujadili kwa utulivu.
Kwa hakika wengi wenu mnaoshiriki mijadala sehemu mbalimbali na humu JF mtakubaliana na mimi kuwa wafuasi wa Chadema wamekuwa na jazba na hasira muda wote na hali hii imesababisha wao kutoa matusi na kejeli kwa mtoa mada badala ya kujenga hoja.
Hali hii haijaanza leo kuna wadau walishawahi kuhoji hii tabia ya jazba takribani miaka zaidi ya mitano iliyopita bila kupata majibu.Rejea hapa chini.https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-pro-chadema-wana-hasira-kila-wakati.576286/page-2
Kwanini Wana-CHADEMA wengi wao Wana jazba?
Je hii ni hulka tu au ni sera ya chama? Nini kifanyike kurekebisha hili?
Tujadili kwa utulivu.