Wanajimwambafai mkuu. Wakikua wataachaPamekuwa na hulka ya viongozi vijana kujibizana bila staha na viongozi wastaafu-mie naliona kama ni mbegu mbaya
"Kinyungu, ama kweli-Leo nimeona clip moja Hapi Mh. RC wa Iringa anajibizana na JK na anamwambia ati awaachie Tanzania yao! Hapi!Wanajimwambafai mkuu. Wakikua wataacha
Jakaya Mrisho Kikwete | |
4th President of Tanzania | |
In office 21 December 2005 – 5 November 2015 | |
Vice President | Ali M. Shein (2005–10) Mr. Mohamed Bilal (2010–15) |
Prime Minister | Edward Lowassa (2005–08) Mr. Mizengo Pinda (2008–15) |
Preceded by | Benjamin William Mkapa |
Succeeded by | John Magufuli |
6th Chairperson of the African Union | |
In office 31 January 2008 – 2 February 2009 | |
Preceded by | John Kufuor |
Succeeded by | Muammar al-Gaddafi |
11th Minister of Foreign Affairs | |
In office 27 November 1995 – 21 December 2005 | |
Preceded by | Joseph Rwegasira |
Succeeded by | Asha-Rose Migiro |
7th Minister of Finance | |
In office 7 August 1994 – 2 November 1995 | |
Preceded by | Kighoma Malima |
Succeeded by | Mr. Simon Mbilinyi |
Member of Parliament for Chalinze | |
In office 26 November 1995 – 20 January 2005 | |
Succeeded by | Ramadhani Maneno |
Personal details | |
Born | 7 October 1951 (age 68) Msoga, Tanganyika |
Nationality | Tanzanian |
Political party | CCM (1977–present) TANU (before 1977) |
Spouse(s) | Salma Kikwete (m. 1989) |
Children | Eight |
Residence | Msoga, The United Republic Of Tanzania |
Alma mater | The University of Dar es Salaam Tanzania Military Academy |
Profession | Economist |
Twitter handle | jmkikwete |
Military service | |
Allegiance | United Rep. of Tanzania |
Branch/service | Tanzanian Army |
Rank | Lieutenant Colonel |
Hilo la kibao ni habari za kutunga halina ukweli wowote.Unashangaa kujibizana? Mkuu wa mkoa alimchapa kibao mzee warioba na amepata madaraka makubwa sana, inaelekea wazee wamejisahau kwenda na KASI YA AWAMU YA TANO.
Ni kwamba hufahamu hili au umeamua tu kupinga na kujaribu kumuosha aliyefanya hili tukio?Hilo la kibao ni habari za kutunga halina ukweli wowote.
Tabia ile ile ya kukuza habari za kutunga.
Unashangaa kujibizana? Mkuu wa mkoa alimchapa kibao mzee warioba na amepata madaraka makubwa sana, inaelekea wazee wamejisahau kwenda na KASI YA AWAMU YA TANO.
Yataka moyo"Kinyungu, ama kweli-Leo nimeona clip moja Hapi Mh. RC wa Iringa anajibizana na JK na anamwambia ati awaachie Tanzania yao! Hapi!
Wasifu
Bw Ally Salum Hapi
Mkuu wa Mkoa
Work in progress......
Jakaya Mrisho Kikwete 4th President of Tanzania In office
21 December 2005 – 5 November 2015Vice President Ali M. Shein (2005–10)
Mr. Mohamed Bilal (2010–15)Prime Minister Edward Lowassa (2005–08)
Mr. Mizengo Pinda (2008–15)Preceded by Benjamin William Mkapa Succeeded by John Magufuli 6th Chairperson of the African Union In office
31 January 2008 – 2 February 2009Preceded by John Kufuor Succeeded by Muammar al-Gaddafi 11th Minister of Foreign Affairs In office
27 November 1995 – 21 December 2005Preceded by Joseph Rwegasira Succeeded by Asha-Rose Migiro 7th Minister of Finance In office
7 August 1994 – 2 November 1995Preceded by Kighoma Malima Succeeded by Mr. Simon Mbilinyi Member of Parliament
for ChalinzeIn office
26 November 1995 – 20 January 2005Succeeded by Ramadhani Maneno Personal details Born 7 October 1951 (age 68)
Msoga, TanganyikaNationality Tanzanian Political party CCM (1977–present)
TANU (before 1977)Spouse(s) Salma Kikwete (m. 1989) Children Eight Residence Msoga, The United Republic Of Tanzania Alma mater The University of Dar es Salaam
Tanzania Military AcademyProfession Economist Twitter handle jmkikwete Military service Allegiance United Rep. of Tanzania Branch/service Tanzanian Army Rank Lieutenant Colonel
Hilo la kibao ni habari za kutunga halina ukweli wowote.
Tabia ile ile ya kukuza habari za kutunga.
Huyu jamaa kanywa maji ya bendera ila jina lake la Burundi huenda ni mojawapo ya wale wakimbizi wa Burundi wamepewa Uraia analipa fadhilaNi kwamba hufahamu hili au umeamua tu kupinga na kujaribu kumuosha aliyefanya hili tukio?
AnazinguaKijana ana jimwambafay
Hilo la kibao ni habari za kutunga halina ukweli wowote.
Tabia ile ile ya kukuza habari za kutunga.
Ndo ujinga wa kuja mjini uzeeni unajikuta umepitwa na mambo kibao..asitukumbushe mzee wetu alivyokula makofi ya mgongo mwaka uleHuyu jamaa kanywa maji ya bendera ila jina lake la Burundi huenda ni mojawapo ya wale wakimbizi wa Burundi wamepewa Uraia analipa fadhila
Mzee Warioba hakupigwa kibao, ni siasa za majitaka.Wewe jamaa akili yako ila ni sawa
Wa Burundi mna shida