ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Huwa nabaki kulegea viungo vyote kasoro vile vinavyohusiana na utoaji wa uchafu mwilini. Yaani Tanzania ni ya ajabu sana. Mvua ikinyesha kidogo tu, umeme unakatika, jua likikomaa nayo taabu, umeme unakosekana.
Sasa hapa mtu unajiuliza iweje kila uchao tunadai hakuna umeme coz ukame umetamalaki, na pindi mvu inaponyesha tunakosa tena huo umeme? Mwenzenu huwa nachanganyikiwa kabisa. Au ndo tuseme mitambo yetu ya kuzalisha umeme sio friendly na mvua wala jua? Kama ni hivyo basi ni heri tungeishi katika nchi ambayo ni semi arid huenda hii shida inaweza kupungua.
Napata taabu sana kuishi TZ kama mtanzania!
Sasa hapa mtu unajiuliza iweje kila uchao tunadai hakuna umeme coz ukame umetamalaki, na pindi mvu inaponyesha tunakosa tena huo umeme? Mwenzenu huwa nachanganyikiwa kabisa. Au ndo tuseme mitambo yetu ya kuzalisha umeme sio friendly na mvua wala jua? Kama ni hivyo basi ni heri tungeishi katika nchi ambayo ni semi arid huenda hii shida inaweza kupungua.
Napata taabu sana kuishi TZ kama mtanzania!