Nchi ya Rwanda imekubali kupokea waombaji wa ukimbizi waliongia nchini Uingereza kwa njia zisizo halali.
Watu hao wakifika Uingereza watakuwa wanapelekwa Rwanda wakati maombi yao yakifanyiwa kazi.
Rwanda watapokea fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Matarajio ni kwamba nchi hii itapokea wakimbizi toka nchi za Kiafrika, Afghanistan na Syria na sio wale wa Ukraine.
Pamoja na viashiria na tuhuma za ubaguzi kutoka nchi za magharibi, bado nchi zetu zinaendelea kukumbatia mikataba inayoendekeza ubaguzi.
Pamoja na kwamba chimbuko la wakimbizi ni tawala zetu, lakini ni muhimu masuala yanayofanana na haya yaendelee kubaki kwenye nchi husika.
Watu hao wakifika Uingereza watakuwa wanapelekwa Rwanda wakati maombi yao yakifanyiwa kazi.
Rwanda watapokea fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Matarajio ni kwamba nchi hii itapokea wakimbizi toka nchi za Kiafrika, Afghanistan na Syria na sio wale wa Ukraine.
Pamoja na viashiria na tuhuma za ubaguzi kutoka nchi za magharibi, bado nchi zetu zinaendelea kukumbatia mikataba inayoendekeza ubaguzi.
Pamoja na kwamba chimbuko la wakimbizi ni tawala zetu, lakini ni muhimu masuala yanayofanana na haya yaendelee kubaki kwenye nchi husika.