mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Kuna mazoezi yanapita katika shule za msingi ya kuwapa wanafunzi dawa za minyoo na sijui dawa gani nyingine, hii ya pili kwa maelezo ya wanafunzi ni chungu. Utoaji wa dawa hizi huambatana na chakula, imebidi leo waende na kuni pamoja na vyombo vya chakula.
Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?
Je, zinatengenezwa na MSD?
Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?
Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.
Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?
Je, zinatengenezwa na MSD?
Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?
Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.