Hili la ugawaji wa dawa za minyoo Shule za Msingi limekaaje?

..ndio.

..kwani dawa ya nimri ya korona haitibu na minyoo?

..nina mashaka mabeberu wanaweza kuwa wametuchanganyia na dawa za kukausha kizazi.

..baadae tutakuwa na watu wasioweza kuzaa.
Ile chachandu inatibuje minyoo?
 
Kuna mazoezi yanapita katika shule za msingi ya kuwapa wanafunzi dawa za minyoo na sijui dawa gani nyingine, hii ya pili kwa maelezo ya wanafunzi ni chungu. Utoaji wa dawa hizi huambatana na chakula, imebidi leo waende na kuni pamoja na vyombo vya chakula.

Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?

Je, zinatengenezwa na MSD?

Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?

Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.
Huo utaratibu mbona haujaanza leo.

Hii awamu vijitu vipuuzi na vitaahira vimetaradadi sana.
 
Ni kweli kuwa Wizara ya Afya na Elimu huwa kuna wakati wanashirikiana katika kutoa dawa za kichocho na minyoo.

Dawa hizi zinapotolewa huitaji mhusika awe amepata chakula. Nadhani, ili kuhakiki hilo ndio maana wanatakiwa kupata chakula shuleni. La sivyo watoto wengi huishiwa nguvu na wengine huweza kupoteza fahamu kwa muda/wachache.

Walimu wakuu wote hupewa taarifa rasmi na taratibu za kufanya ili kufanikisha zoezi husika. Kama kuna wasiwasi wowote basi wasiliana na mwalimu mkuu wa shule anayosoma mwanao, ili kujua kama ni kitu tofauti na ni kwaajili ya nini?. Kwa shule nyingine wamefikia kutoa notisi kwa wazazi ili kukubali/consent au kukataa zoezi husika kabla ya kufanyika.

Kitaalamu ni jambo jema na kwa kuwa zinatolewa chini ya usimamizi wa wizara ya afya basi usalama na ubora utakuwa umezingatiwa.
Hizo dawa zinatengenezwa na nchini gani mkuu? Kama sio Tanzania basis hamna aja ya kuwapa watoto wetu hizo dawa ...kama niza Wazungu /mabeberu ili zoezi lisitishwe haraka kwa manufaa ya Taifa letu.Hawatupendi ..kumbuka Vita ya Uchumi ni ngumu sana.
 
Huo utaratibu mbona haujaanza leo.

Hii awamu vijitu vipuuzi na vitaahira vimetaradadi sana.
Namshukuru Mungu kwamba mnakanyagana wenyewe, mara mabeberu mara utaratibu haujaanza leo! Wako mpendwa vitaahira vyenye uwezo wa kupambanua mambo
 
Kuna mazoezi yanapita katika shule za msingi ya kuwapa wanafunzi dawa za minyoo na sijui dawa gani nyingine, hii ya pili kwa maelezo ya wanafunzi ni chungu. Utoaji wa dawa hizi huambatana na chakula, imebidi leo waende na kuni pamoja na vyombo vya chakula.

Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?

Je, zinatengenezwa na MSD?

Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?

Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.

Duh! Kwa kweli hata wa kwangu ameenda home chokest ikabidi alale. Mwanangu akasema next time wakileta dawa zozote skuli nitakataa kuzinywa!
 
Hizo dawa zinatengenezwa na nchini gani mkuu? Kama sio Tanzania basis hamna aja ya kuwapa watoto wetu hizo dawa ...kama niza Wazungu /mabeberu ili zoezi lisitishwe haraka kwa manufaa ya Taifa letu.Hawatupendi ..kumbuka Vita ya Uchumi ni ngumu sana.

Kazi ya kusimamia ubira na usalama wa dawa na vifaa tiba ni ya TMDA chini ya wizara ya afya.

Hakuna nchi inajitosheleza kwa dawa zote duniani. Mengine yote ni kuwa paranoid/wasiwasi usio na sababu tu. Kama taifa tutajikuta tunaviogopa mpaka vivuli vyetu. Tutajitia ukichaa bure, tutumie vyombo vyetu vilivyoundwa kisheria na kupewa mamlaka hayo na tuviamini. Kama havifanyi kazi yake vyema na tuseme wapi hawako sawa.
 
Kuna mazoezi yanapita katika shule za msingi ya kuwapa wanafunzi dawa za minyoo na sijui dawa gani nyingine, hii ya pili kwa maelezo ya wanafunzi ni chungu. Utoaji wa dawa hizi huambatana na chakula, imebidi leo waende na kuni pamoja na vyombo vya chakula.

Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?

Je, zinatengenezwa na MSD?

Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?

Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.
Kwanz wanapma kabla na kubainika wana minyoo na kupew daw izo?
 
Ivi kwa nini msianze kupinga na kupiga Vita chanjo ya Ndui au yenyewe inatengenezwa Bongoland au Mamtoni au yenyewe sio iliyoletwa na hao mabeberu Tanzania Sihami ,Nguvu moja🦾🦾
 
Hukusikia wanatengeneza barakoa?!!
Pole sana! Unasikiliza kauli za walio nje ya taaluma...MSD hawana kiwanda wana bohari tu !

Pia barakoa zile zilitengenezwa Uchina ukiziangalia kwenye manufacturer

Na kwa kwa faida yako tu MSD wanatia Chapa kwenye Vifungashio vya Dawa hata toka nje ndio maana si ajabu kukuta MSD wamepiga chapa kwenye Kopo la Neuroton tabs ijapokua manufacturer wa nje
 
Pole sana! Unasikiliza kauli za walio nje ya taaluma...MSD hawana kiwanda wana bohari tu !

Pia barakoa zile zilitengenezwa Uchina ukiziangalia kwenye manufacturer

Na kwa kwa faida yako tu MSD wanatia Chapa kwenye Vifungashio vya Dawa hata toka nje ndio maana si ajabu kukuta MSD wamepiga chapa kwenye Kopo la Neuroton tabs ijapokua manufacturer wa nje
Asante kwa maarifa, basi bwana yule atakuwa ametulisha matango pori wengi tu, tangu leo nateremka kwenye gari lake na sipandi tena!
 
Asante kwa maarifa, basi bwana yule atakuwa ametulisha matango pori wengi tu, tangu leo nateremka kwenye gari lake na sipandi tena!
Aliwahi kusema siku ina saa 48 sasa je kwa uelewa wa kawaida kweli kauli yake iko sahihi?
 
Kuna mazoezi yanapita katika shule za msingi ya kuwapa wanafunzi dawa za minyoo na sijui dawa gani nyingine, hii ya pili kwa maelezo ya wanafunzi ni chungu. Utoaji wa dawa hizi huambatana na chakula, imebidi leo waende na kuni pamoja na vyombo vya chakula.

Hizi dawa hazina mkono wa mabeberu kweli?

Je, zinatengenezwa na MSD?

Kwanini watoto wanatapika na kusinzia baada ya kutumia?

Hizi nadhani ni hatari kuliko barakoa.
Mawazo ya punguwani huku akiwa anatumia device ya mabeberu na internet ya mabeberu.

Watu wa aina yako ni mzigo kwa Taifa, Idd Amin hakuona shida kugeuza chakula cha mamba watu wajinga kama wewe, MSD wanatengeneza ARV wapi?
 
Ni kweli kuwa Wizara ya Afya na Elimu huwa kuna wakati wanashirikiana katika kutoa dawa za kichocho na minyoo.

Dawa hizi zinapotolewa huitaji mhusika awe amepata chakula. Nadhani, ili kuhakiki hilo ndio maana wanatakiwa kupata chakula shuleni. La sivyo watoto wengi huishiwa nguvu na wengine huweza kupoteza fahamu kwa muda/wachache.

Walimu wakuu wote hupewa taarifa rasmi na taratibu za kufanya ili kufanikisha zoezi husika. Kama kuna wasiwasi wowote basi wasiliana na mwalimu mkuu wa shule anayosoma mwanao, ili kujua kama ni kitu tofauti na ni kwaajili ya nini?. Kwa shule nyingine wamefikia kutoa notisi kwa wazazi ili kukubali/consent au kukataa zoezi husika kabla ya kufanyika.

Kitaalamu ni jambo jema na kwa kuwa zinatolewa chini ya usimamizi wa wizara ya afya basi usalama na ubora utakuwa umezingatiwa.
Hizo dawa zinatengenezwa na nchini gani mkuu? Kama sio Tanzania basis hamna aja ya kuwapa watoto wetu hizo dawa ...kama niza Wazungu /mabeberu ili zoezi lisitishwe haraka kwa manufaa ya Taifa letu.Hawatupendi ..kumbuka Vita ya Uchumi ni ngumu sana.
Kazi ya kusimamia ubira na usalama wa dawa na vifaa tiba ni ya TMDA chini ya wizara ya afya.

Hakuna nchi inajitosheleza kwa dawa zote duniani. Mengine yote ni kuwa paranoid/wasiwasi usio na sababu tu. Kama taifa tutajikuta tunaviogopa mpaka vivuli vyetu. Tutajitia ukichaa bure, tutumie vyombo vyetu vilivyoundwa kisheria na kupewa mamlaka hayo na tuviamini. Kama havifanyi kazi yake vyema na tuseme wapi hawako sawa.
Umetumwa na mabeberu.. Sisi tunajiweza sana
 
Hizo dawa zinatengenezwa na nchini gani mkuu? Kama sio Tanzania basis hamna aja ya kuwapa watoto wetu hizo dawa ...kama niza Wazungu /mabeberu ili zoezi lisitishwe haraka kwa manufaa ya Taifa letu.Hawatupendi ..kumbuka Vita ya Uchumi ni ngumu sana.

Umetumwa na mabeberu.. Sisi tunajiweza sana
Ahsante, mbaya zaidi naelezea kile ambacho ninakifahamu wala sihusiki na kutoa dawa. Hivyo, waweza kujipima na kuona ni kwa kiasi gani u na afya njema ya akili.
 
Ahsante, mbaya zaidi naelezea kile ambacho ninakifahamu wala sihusiki na kutoa dawa. Hivyo, waweza kujipima na kuona ni kwa kiasi gani u na afya njema ya akili.
Punguzeni kutumiwa wa Wazungu, kuweni mzalendo. Tutumie vya kwetu..Nasimama na JPM mzalendo namba moja.Wazungu awatupendi...vita ya kiuchumi ni ngumu
 
Back
Top Bottom