Hili la TTB na ATCL kutangaza Utalii India...

Toosweet

JF-Expert Member
May 27, 2012
2,141
1,982
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
 
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
Ebana mnagubu balaa,acheni watu wafanye kazi zao
 
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
Umesema ukweli kabisa wahindi wakija hapa mikumi wataandikisha wachache kwenye rooms lakini baadaye utakujakugundua kua wamelala chumbani wengi na wanasepa na mataulo imeishatokea sana bado uharibifu wa mabomba au vitu mbalimbali ndani ya rooms
 
Umesema ukweli kabisa wahindi wakija hapa mikumi wataandikisha wachache kwenye rooms lakini baadaye utakujakugundua kua wamelala chumbani wengi na wanasepa na mataulo imeishatokea sana bado uharibifu wa mabomba au vitu mbalimbali ndani ya rooms
Nashukuru mkuu kuwa na wewe umeliona hilo.
 
Mkuu umenena vema sana sana sana,hutakiwi kunyamaza haswa kama unaipenda na kuitakia mema Nchi yako,maandishi yako yanaweza kusaidia jamii,kizazi,
Sijui kuna kundi la wahindi wamewarubuni ATCL Kuwa waanzishe safari za INDIA Zitalipa,watakuwa wanawaleta moja kwa moja hotelini?
inachekesha sana sana,wahindi sio watu wa ku spend hata kidogo,huenda kuna kundi lenye hela,ushawishi hapa bongo limetumia nafasi hiyo,hotel kumilikiwa na wahindi na hata kama wana connection za wahindi walio INDIA Sio kigezo kabisa cha kuwapa safari za NJE AISEE.Unajua wengine wanasimuliwa tuu na kuchukua kodi,hawawajui wahindi,
kwanini wasitumie Takwimu za utalii kujua wapi tunapokea watalii wengi ndio tupeleke ndege au tuweke wakala huko?
kama haiwezekani bora ndege ikaenda south Africa au ikawachukulia Nchi nyingine wanapotoka Ulaya kama direct flight hakuna.
 
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
Binafsi ninetembea sana ktk hifadhi na maeneo mengiya kitalii hapa tanzania sikumbuki kama niliwahi kukutana na mhindi. Labda kuna watalii wengi wneda India, tutawapeleka hao.
 
Tafiti hupingwa kwa tafiti mpya mjomba , huyu mleta uzi ana ushahidi mnene sana , huwezi kupinga kwa kuvaa tu fulana ya jembe na nyundo , utadhalilika .
Ujuaji tu,tulipe shirika muda,si kila utafiti ni sahihi,mengine ni mazungumzo baada ya habari
 
ATCL wana segments nyingi za abiria ukiwamo utalii. TTB wanalao pia. Kuiba taulo sio hoja ya kutoangalia masoko mapya. Mkuu una hoja na nakubaliana sana na wewe. Uzi ni wakukurupuka. Sijui hoja yake ni TTB au ATCL? ATCL wamefanya kitu kizuri na TTB lazima wawe wabunifu kutafuta masoko mapya na India ni muhimu.


Target sidhani kama ilikuwa utalii peke yake, kuna swala la matibabu, biashara ya madawa, madini nk.
 
Kama sio utaliii hao TTB (Bodi ya Utalii walienda kufanya nini).
Utalii was party of, kitu muhimu kuangalia ni namba ya abiria toka E.A.... Dar inclusive to India and verse verser then Airline competitors.. maana mtoa mada anaamini kwa sababu TTB walienda kupromote safari za kitalii Basi dege lote litakuja limesheheni watalii which is very wrong. Sababu za watu kusafiri ni nyingi sana ingawa utalii unaongoza kwa kuwa sababu ya watu kusafiri.

Pia abiria wanaotokea India sio wote watakuwa ni raia wa India, race ni nyingi... Pia huwa siamini conclusion kwenye uzoefu wa upande mmoja, ati kwa sababu watalii wa low season kule Arusha wengi Ni maponjoro wa kihindi na walionyesha tabia za wizi basi watalii wa kihindi wakipanda Dream liner kuja Dar watakuja kuiba!!... Kisa Ni wabahiri sana. Kwenye maelezo ya mtoa mada hakutaja uraia halisi wa hao watalii wenye asili ya India ...inawezekana kabisa wasiwe raia wa India...wakawa ni wenzetu kisheria.

Kwa uchache TTB wamefanya walichotakiwa kufanya kwa route hiyo tarajiwa maana kupitia wait hata wateja wengine watapata taarifa.. maana dege haliwezi anza route hiyo kimya kimya.
 
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
Mkuu umenena vema sana sana sana,hutakiwi kunyamaza haswa kama unaipenda na kuitakia mema Nchi yako,maandishi yako yanaweza kusaidia jamii,kizazi,
Sijui kuna kundi la wahindi wamewarubuni ATCL Kuwa waanzishe safari za INDIA Zitalipa,watakuwa wanawaleta moja kwa moja hotelini?
inachekesha sana sana,wahindi sio watu wa ku spend hata kidogo,huenda kuna kundi lenye hela,ushawishi hapa bongo limetumia nafasi hiyo,hotel kumilikiwa na wahindi na hata kama wana connection za wahindi walio INDIA Sio kigezo kabisa cha kuwapa safari za NJE AISEE.Unajua wengine wanasimuliwa tuu na kuchukua kodi,hawawajui wahindi,
kwanini wasitumie Takwimu za utalii kujua wapi tunapokea watalii wengi ndio tupeleke ndege au tuweke wakala huko?
kama haiwezekani bora ndege ikaenda south Africa au ikawachukulia Nchi nyingine wanapotoka Ulaya kama direct flight hakuna.
Nawashangaa sana nyie watu mnachojaribu kutueleza hapa. India ni mojawapo ya Nchi zenye abiria wengi na watu wa asili hiyo wapo wengi hapa Tanzania. Hivyo kuna uhitaji wa kutosha wa Ndege za kutoka na kwenda India. Wahindi kwa sasa wako juu duniani kiteknolojia ya ICT so ni wazi itafungua milango ya maingiliano ya haraka ya kibiashara.
Vilevile, mnajua kuwa, Watanzania wengi huenda India kwa ajili ya matibabu hasa huko Chennai, so ni fursa ya abiria kwenda direct badala ya kupitia Dubai ambapo husababisha gharama kubwa na pia muda mwingine kupoteza siku nzima ili kuunganisha na flights za India ama Bongo.
Aidha, Watanzania wengi pia huenda kusoma India, hivyo kuna guarantee ya biashara.
Mnachosahau ni kwamba mnadhani mkiambiwa kuhusu utalii, inamaanisha kwenda mbugani la hasha, kuna watalii wengi sana wanakuja Tanzania siyo kuangalia mbuga bali kibiashara. Ndiyo maana Rwanda wanatengeneza fedha kupitia utalii wa mikutano.
So bado kuna room kubwa ya maboresho. Believe me, hakuna Nchi ambaye ATCL inatakiwa ipeleke Ndege zake kama India na China, that's all, mengine ni mbwembwe.
Ndiyo maana TTB inapanua wigo wa masoko yake ili iache kutegemea Nchi za Ulaya Magharibi. Usitegemee Mhindi mwenye fedha zake afikirie vivutio kama mzungu wa Ulaya ambako hakuna uoto wa kitropiki. Hivi mnajua India kuna mbuga zenye wanyama wengi wa kitropiki? Ukienda Ulaya hutawakuta wa kitropiki kutokana na hali ya baridi so watakuwa na interest kubwa kuliko Wahindi ama Wachina.
 
Wahindi asilimia kubwa ni watu wa kubana sana matumizi. Nimewahi shuhudia wawekezaji wkihindi sector madini rock city, wakilazimisha kulala wanaume 3! Kitanda kimoja! Mwanzo anafika mmoja,kwa kuwa anakaa Muda mrefu anaomba punguzo kubwa,mbaya zaidi wanaume 3 wanalala na mdada mmoja wa kibongo single bed.
 
Kwenu ,

Poleni na msiba wa ndugu zetu wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere,
Ukerewe.

Nimesoma na kuona katika taarifa za habari kwenye luninga. Mabosi wa Tanzania Tourist Board na Air Tanzania Corporation Ltd wakiwa India kutangaza utalii.Niliona pia, kama wameenda na ndege yetu.

Mimi nimewahi kufanya kazi kwenye restaurants, hotels na lodges kubwa, lodges za Sopa Tarangire, Ngorongoro na Serengeti. Hizi zinamilikiwa na Wahindi. Wahindi wachache sana, miongoni mwao ni wa Arusha mjini, ndiyo niliowaona kuja kutalii mbugani. Walikuja wakati wa Low Season, bei zikiwa chini. Walikaa sita kwenye chumba cha watu wawili, wazazi na watoto wane. Waliomba extra bed. Walikuja kwa kuwa walijua wamiliki ni Wahindi na wangepata favors. Walikuwa na pesa, walikuwa wa jamii ya Aga Khan. Hawakuwa maskini. Walipo-check out walisepa na taulo. Room attendant alifuatilia na kuripoti mapokezi. Habari zilipomfikia mkurugenzi, aliwasihi sana watu wa room service na reception wasiwanyang'anye taulo. Ni aibu. Atalipa yeye.

Hayo yalikuwa ya kawaida kwa Wahindi. Nilipokuwa nafanya kazi kwenye Mandarin Palace Restaurant mjini Arusha, wanawake wa Kihindi waliiba chop sticks na table bowls. Walificha kwenye nguo. Zingine waliwapa watoto wakachezee nje ili wakitoka waondoke nazo.

Visa hivi ni sehemu tu ya vitimbi na sijapost ili kuwadhalilisha au kuwadharau. Natoa fact. Gharama za kupeleka ndege India zitalipa? Ni wapi duniani katika hospitality industry ambapo nchi iliwekeza kutangaza utalii India?

Wahindi wanavalue sana fedha zao. Ni Wachumi wazuri. Wengi hawana tabia ya kutalii. Wapo Wahindi wa Canada, hawa wanatalii kama Wazungu.

Kabla ya kuamua ku-invest, mamlaka husika zifanye utafiti kwanza.

TS.
India kuna soko dogo sana la utalii japo ni mwekezaji mzuri hapa Tz na watalii wao ni wachache sana nlitegemea wangejikita kwenye nchi kama Malaysia,China (Sababu za kibiashara na kuvutia mwekezaji) angalau au mashariki ya mbali kama Japan kidogo kwa bara Asia ndo wenye afadhali na kwa kutumia Zanzibar wangejikita kwenye nchi za ghuba zaidi mfano Oman, UAE .Ila tusiingilie Kazi za watu huenda wako sawa.
 
Back
Top Bottom