Kyodowe
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,189
- 1,295
Kwanza nieleweke kama kawaida wikiendi huwa napenda kufanya shopping kwa ajili ya kukimbiza ka-wiki. Cha kushangaza toka imeanza awamu hii ya5 kila ninapokuwa nimefanya manunuzi kwenye hizi supermarket zetu lazima niambulie kabidhaa kamoja fake/expired.
Nimekuwa najitahidi kuhama hama kwenye hizi supermarket kila ninapoona sipati huduma bora lakini matokeo yanakuwa ni yaleyale.
Je, hivi hizi ni dalili za kuporomoka kiuchumi? Au ni nini hiki kinachoendelea mpaka masurpermarket zinakuwa ni vitu vilivyooza!
Angalizo kwa wale mnaopenda thread za makinikia tuvumiliane kidogo ili tuweze kujuzana hili.
Nimekuwa najitahidi kuhama hama kwenye hizi supermarket kila ninapoona sipati huduma bora lakini matokeo yanakuwa ni yaleyale.
Je, hivi hizi ni dalili za kuporomoka kiuchumi? Au ni nini hiki kinachoendelea mpaka masurpermarket zinakuwa ni vitu vilivyooza!
Angalizo kwa wale mnaopenda thread za makinikia tuvumiliane kidogo ili tuweze kujuzana hili.