Hili la 'Rais' kulihutubia Bunge tukiamini ni tukio 'Kubwa' halafu kuna Wabunge wanaanzisha Nyimbo na Pambio Kusifu nalo pia ni la Kikatiba?

Ni fedheha na aibu!

Nimeangalia State of the Union kwa wenzetu huko ni issue serious sana! Mnapiga makofi mkiguswa sana mnasimama kwa makofi.
Kuna style tofauti za kupongeza ukiguswa na jambo kutokana na utofauti na wa jamii na jamii. Sioni kwanini uwasifie Wamerekani na uwashangae Watanzania. Bila shaka ushaangalia The House of Commons Sessions! Unawasemaje Wabunge wanapomzomea PM wao?
 
unaweza kuwa na akili sana wewe hadi kutoa mada nzuri na fikirishi,ila usipende kuonyesha wingi wa akili zako kwa kutukana watu unaodhani hawajakidhi matakwa yako ya mada yako....hii tabia yako ya matusi inakua kwa kasi
Acha kunipotezea Muda Mnafiki Wewe.
 
Back
Top Bottom