MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Leo nimekesha Kufanya Utafiti (Kuchunguza) ni nchi gani nyingine duniani ambayo Rais akiwa 'analihutubia' Bunge Waheshimiwa Wabunge katikati ya Hotuba yake 'humkatisha' kwa Kuanza kuruka 'Sarakasi' Vitini mwao, kuimba Nyimbo na Pambio za Kusifu na Kupongeza.
Je, hili la Wabunge 'Kuingilia' Hotuba ya Rais kwa (kuimba na Kusifu) kwa Bunge tukiamini kuwa ni tukio Kubwa na Adhimu katika Siasa za Tanzania (na hata Mataifa mengine) ni la 'Kikatiba' au labda Watanzania 'tumejibunia' tu Wenyewe ama kwa Ushamba au Upuuzi wetu uliozoeleka kwa miaka mingi?
Maajabu mengi yapo tu Tanzania Kwetu.
Je, hili la Wabunge 'Kuingilia' Hotuba ya Rais kwa (kuimba na Kusifu) kwa Bunge tukiamini kuwa ni tukio Kubwa na Adhimu katika Siasa za Tanzania (na hata Mataifa mengine) ni la 'Kikatiba' au labda Watanzania 'tumejibunia' tu Wenyewe ama kwa Ushamba au Upuuzi wetu uliozoeleka kwa miaka mingi?
Maajabu mengi yapo tu Tanzania Kwetu.