Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Hakika mkuu, hili jukwaa natumaini vyombo vya dola na ikulu itachukua ushauri wetu.Nakubaliana kabisa na wewe mkuu.Ajira hii ina ukakasi sana.Inaonyesha wazi kwamba Ole Naiko alifanya madudu ambayo yalii-favour Acacia,and this is a kick back.Achunguzwe huyu.