Sasa kwani wewe hujui kama tumepuliziwa ndumba?!mazezeta eti eeh
wangekusikiliza tungeenda mbele nusu inchi, TUOMBE MUNGU WAPITE HUMU WACHUKUE USHAURINashauri sana suala la UTEUZI liangaliwe sana. Mfano zamani Wakuu wa wilaya au Wakurugenzi waliokuwa wanateuliwa katika nyadhifa hizi walikuwa wanatoka katika Utumishi wa Umma tena mwenye uzoefu wa si chini ya miaka kumi. Mkurugenzi akiteuliwa anatokana na Wakuu wa Idara katika Halmashauri. Wale wanaojua kabisa Serikali za Mitaa. Wako Wakuu wa Idara ya Elimu, Ardhi, Maendeleo ya Jamii, Maji, Waweka Hazina, Afisa Utamaduni, Afisa Mipango, Afisa Utumishi hawa wanajua Serikali za Mitaa per se na hao ndiyo wangestahili kuteuliwa. Naishauri mamlaka ya uteuzi kuliangalia suala hili ili huku chini kuwe na Watendaji wenye uwezo, waadilifu, uzoefu n.k.
Kuna wilaya mkoa wa Mbeya na DC na DAS walikuwa wanagombea wanaume nadhani wachimbaji, wakatumbuliwa woteJe ni kweli huu ni uthibitisho tosha kwamba Kiasili Wanawake hawapendani / hawapatani? Je ni kweli kwamba kila unapoona Wanawake wanagombana sababu zinaweza kuwa nyingi ila iliyo kubwa zaidi huwa ni Kugombea Mwanaume / Bwana? Na je ni kweli kwamba 99.9% ya Watendaji ( Wafanyakazi ) wa Serikalini ni ‘ Washirikina ‘ na kwamba ‘ Ushirikina ‘ ndiyo Kipaumbele hasa katika Idara nyingi za Kiserikali?
Hawa Wanawake wawili Viongozi Mkuu wa Wilaya Bi. Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Wende Ng'ahara na aina ya ' Bifu ' lao wanaweza kuwa mfano mzuri na naomba tuanzie Mjadala wetu hapa.
Karibu katika Mjadala.
Nawasilisha.
Ndio maana waganga wanaendelea kupeta. Ndio maana mauaji ya kishirikina hayaishi. Jamii yetu wengi ni true believers of ushirikina. Na wanaufanyia kazi haswaUchawi na ushirikina umetamalaki serikalini. Hadi bungeni alikotokea bundi mchana kweupe!
Je ni kweli huu ni uthibitisho tosha kwamba Kiasili Wanawake hawapendani / hawapatani? Je ni kweli kwamba kila unapoona Wanawake wanagombana sababu zinaweza kuwa nyingi ila iliyo kubwa zaidi huwa ni Kugombea Mwanaume / Bwana? Na je ni kweli kwamba 99.9% ya Watendaji ( Wafanyakazi ) wa Serikalini ni ‘ Washirikina ‘ na kwamba ‘ Ushirikina ‘ ndiyo Kipaumbele hasa katika Idara nyingi za Kiserikali?
Hawa Wanawake wawili Viongozi Mkuu wa Wilaya Bi. Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Wende Ng'ahara na aina ya ' Bifu ' lao wanaweza kuwa mfano mzuri na naomba tuanzie Mjadala wetu hapa.
Karibu katika Mjadala.
Nawasilisha.
Umevurugwa ha ha haHili swali kamuulize Mjomba wako / Shangazi yako tafadhali.
Matusi hata umejifunza insta bilashaka?!! Ungemuignore ungeshinda zaidi!!Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe ndiyo usiyejua kuwa kuna ' Mzozo ' mkubwa kati ya hao Watendaji tajwa Wawili wa Serikali na ni taarifa ambayo ipo kila mahala iwe Mitandaoni au hata katika Vyombo vingine vya Habari na hata hapa Mtandaoni JamiiForums pia ipo na imezungumzwa mno hivyo sijaelewa unavyotaka nieleze zaidi unataka nini. Siku nyingine ukijijua huna ' Akili ' na huwezi Kufikiri kama ' Critical Thinker ' nakuomba acha kuwa unafungua ' threads ' zangu kwani hutozielewa. Mpuuzi mkubwa Wewe!
Asante ujue mi nishidaHuwa napenda sana na mno kukutana na Members ' very Intelligent ' na Wajenga Hoja wazuri kama Wewe hapa Jamvini JamiiForums. Hongera Mkuu nimekukubali na umeandika vyema na ukweli mtupu. Sasa Kazi Kwao Wahusika.