Hili la Mkuu wa Wilaya wa Biharamuro Bi. Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Ng’ahara litufikirishe zaidi ya hapo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,518
108,793
Je ni kweli huu ni uthibitisho tosha kwamba Kiasili Wanawake hawapendani / hawapatani? Je ni kweli kwamba kila unapoona Wanawake wanagombana sababu zinaweza kuwa nyingi ila iliyo kubwa zaidi huwa ni Kugombea Mwanaume / Bwana? Na je ni kweli kwamba 99.9% ya Watendaji ( Wafanyakazi ) wa Serikalini ni ‘ Washirikina ‘ na kwamba ‘ Ushirikina ‘ ndiyo Kipaumbele hasa katika Idara nyingi za Kiserikali?

Hawa Wanawake wawili Viongozi Mkuu wa Wilaya Bi. Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Wende Ng'ahara na aina ya ' Bifu ' lao wanaweza kuwa mfano mzuri na naomba tuanzie Mjadala wetu hapa.

Karibu katika Mjadala.

Nawasilisha.
 
Wengine hatuna taarifa, toa habari iliyokamilika acha haraka kama unaogea nje

#Mayallaaaaaa #Njaaaaaaaaa

Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe ndiyo usiyejua kuwa kuna ' Mzozo ' mkubwa kati ya hao Watendaji tajwa Wawili wa Serikali na ni taarifa ambayo ipo kila mahala iwe Mitandaoni au hata katika Vyombo vingine vya Habari na hata hapa Mtandaoni JamiiForums pia ipo na imezungumzwa mno hivyo sijaelewa unavyotaka nieleze zaidi unataka nini. Siku nyingine ukijijua huna ' Akili ' na huwezi Kufikiri kama ' Critical Thinker ' nakuomba acha kuwa unafungua ' threads ' zangu kwani hutozielewa. Mpuuzi mkubwa Wewe!
 
Uchawi na ushirikina umetamalaki serikalini.........hadi bungeni alikotokea bundi mchana kweupe!

Nakubaliana nawe kwa 100% kwani kuna Taasisi moja hivi ya Serikali ( jina Kapuni ) niliambiwa niombe Kazi kote lakini nisithubutu Kuomba hapo kwani nikifanya hapo Kazi ndani ya miezi mitatu tu lazima Jina langu litabadilika na kutanguliwa na la Marehemu. Vijana wengi mno waliopata Kazi hapo leo hii wamelala milele daima pale Kinondoni Makaburini. Hiyo Taasisi imejaa Wazee na hadi hivi leo hawataki Kustaafu na Wabishi Kushaurika na ole wako wajue Wewe ni Msomi utakiona cha Moto.
 
Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe ndiyo usiyejua kuwa kuna ' Mzozo ' mkubwa kati ya hao Watendaji tajwa Wawili wa Serikali na ni taarifa ambayo ipo kila mahala iwe Mitandaoni au hata katika Vyombo vingine vya Habari na hata hapa Mtandaoni JamiiForums pia ipo na imezungumzwa mno hivyo sijaelewa unavyotaka nieleze zaidi unataka nini. Siku nyingine ukijijua huna ' Akili ' na huwezi Kufikiri kama ' Critical Thinker ' nakuomba acha kuwa unafungua ' threads ' zangu kwani hutozielewa. Mpuuzi mkubwa Wewe!
Una hakika mama na baba yako, shangaziyo na mke mwenzio wanajua huo mzozo? Au nao ni wapumbavu kama mimi?

Akili zako zipo sehemu ya kukalia
 
Taratibu mkuu lakini hapo mbali na kuwa ni wanawake lakini pia ni kabila kubwa na pendwa
Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe ndiyo usiyejua kuwa kuna ' Mzozo ' mkubwa kati ya hao Watendaji tajwa Wawili wa Serikali na ni taarifa ambayo ipo kila mahala iwe Mitandaoni au hata katika Vyombo vingine vya Habari na hata hapa Mtandaoni JamiiForums pia ipo na imezungumzwa mno hivyo sijaelewa unavyotaka nieleze zaidi unataka nini. Siku nyingine ukijijua huna ' Akili ' na huwezi Kufikiri kama ' Critical Thinker ' nakuomba acha kuwa unafungua ' threads ' zangu kwani hutozielewa. Mpuuzi mkubwa Wewe!
 
Huyu Gentamycin huwa anajifanya yeye ndo kipimo cha akili ilhali ni mbulula fulani aliyesoma vyuo vya mtaani huko mwanza na ana elimu ya kuunga unga kweli

#Mayallaaaaaaaaaaaa #Njaaaaaaaaaaaa

Kuna tofauti kubwa kati ya huyo Gentamycin unayemzungumzia hapa na Kumdhalilisha hivyo na huyu ( Mimi ) GENTAMYCINE a.k.a Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ninayetiririka na kuserereka hapa JamiiForums. Je Wewe uliyekuwa unamlenga hapa hasa ni yupi kati ya hao Wawili?
 
Halafu mkurugenzi ni binti mdogo kabisa mbichi hawezi kufanya mambo ya kishirikina.
Lawama zote ziende kwa mwenyekiti kwa kuchagua makada chipukizi katika nafasi za U Dc na UDED badala ya kuwapandisha vyeo watumishi wa umma wenye udhoefu
 
Nashauri sana suala la UTEUZI liangaliwe sana. Mfano zamani Wakuu wa wilaya au Wakurugenzi waliokuwa wanateuliwa katika nyadhifa hizi walikuwa wanatoka katika Utumishi wa Umma tena mwenye uzoefu wa si chini ya miaka kumi. Mkurugenzi akiteuliwa anatokana na Wakuu wa Idara katika Halmashauri. Wale wanaojua kabisa Serikali za Mitaa. Wako Wakuu wa Idara ya Elimu, Ardhi, Maendeleo ya Jamii, Maji, Waweka Hazina, Afisa Utamaduni, Afisa Mipango, Afisa Utumishi hawa wanajua Serikali za Mitaa per se na hao ndiyo wangestahili kuteuliwa. Naishauri mamlaka ya uteuzi kuliangalia suala hili ili huku chini kuwe na Watendaji wenye uwezo, waadilifu, uzoefu n.k.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya huyo Gentamycin unayemzungumzia hapa na Kumdhalilisha hivyo na huyu ( Mimi ) GENTAMYCINE a.k.a Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ninayetiririka na kuserereka hapa JamiiForums. Je Wewe uliyekuwa unamlenga hapa hasa ni yupi kati ya hao Wawili?
Kwani kuna Gentamycine mwingine alosoma chuo cha kata zaidi yako?
 
Nashauri sana suala la UTEUZI liangaliwe sana. Mfano zamani Wakuu wa wilaya au Wakurugenzi waliokuwa wanateuliwa katika nyadhifa hizi walikuwa wanatoka katika Utumishi wa Umma tena mwenye uzoefu wa si chini ya miaka kumi. Mkurugenzi akiteuliwa anatokana na Wakuu wa Idara katika Halmashauri. Wale wanaojua kabisa Serikali za Mitaa. Wako Wakuu wa Idara ya Elimu, Ardhi, Maendeleo ya Jamii, Maji, Waweka Hazina, Afisa Utamaduni, Afisa Mipango, Afisa Utumishi hawa wanajua Serikali za Mitaa per se na hao ndiyo wangestahili kuteuliwa. Naishauri mamlaka ya uteuzi kuliangalia suala hili ili huku chini kuwe na Watendaji wenye uwezo, waadilifu, uzoefu n.k.

Huwa napenda sana na mno kukutana na Members ' very Intelligent ' na Wajenga Hoja wazuri kama Wewe hapa Jamvini JamiiForums. Hongera Mkuu nimekukubali na umeandika vyema na ukweli mtupu. Sasa Kazi Kwao Wahusika.
 
Je ni kweli huu ni uthibitisho tosha kwamba Kiasili Wanawake hawapendani / hawapatani? Je ni kweli kwamba kila unapoona Wanawake wanagombana sababu zinaweza kuwa nyingi ila iliyo kubwa zaidi huwa ni Kugombea Mwanaume / Bwana? Na je ni kweli kwamba 99.9% ya Watendaji ( Wafanyakazi ) wa Serikalini ni ‘ Washirikina ‘ na kwamba ‘ Ushirikina ‘ ndiyo Kipaumbele hasa katika Idara nyingi za Kiserikali?

Hawa Wanawake wawili Viongozi Mkuu wa Wilaya Bi. Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Wende Ng'ahara na aina ya ' Bifu ' lao wanaweza kuwa mfano mzuri na naomba tuanzie Mjadala wetu hapa.

Karibu katika Mjadala.

Nawasilisha.
Geny labda tuanze na wewe mwenyewe. wewe kama mtoto wa kike unasemaje kuhusu hilo ?
 
Back
Top Bottom