Hili la mkopo wa SGR hebu tuwekane sawa na MaCCM maana naona nyie ndio mumeumia sana

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,746
48,385
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
 
Wewe ndio unakuaga namba moja kuleta bad news za Tz humu jukwaani ukizisikia tena zingine unaletaga za uongo, ila nyie zikiletwa zenu mnakuaga wa kwanza kuwapa waTz majina ya ajabu ajabu, mnazipeleka hadi forum zingine, au ndo ule msemo wa *Nyani haoni kundule* ile siku utaacha kuleta habar za Tz humu na waTz nao wataacha, badilikeni Kenyans.
 
Hivi Huyu Jamaa Alimaanisha nini Hii ndio Treni ya SGR karne Hiii
Sijamuelewa kwamba inamoshi
IMG_20190428_190720_547.jpeg
 
Mkopo Asitoe Mchina Povu apewe Mtanzania!!
Alisikika mlevi fulani akisema
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
 
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
Imebidi nicheke tu, TANZAGANDA
 
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
Kwanza unaongea uongo.
Mombasa to Nairobi 486km
Nairobi to Naivasha 91km
Mombasa to Malaba Uganda 927km
Mpaka hapo umechemka.
Jumla ya umbali toka Mombasa to Naivasha ni 577km
Kwanza weka hesabu sawa ili tuongee vizuri.
 
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
Nakupa A kwenye lugha umeifanyia vyema,
Tz SGR Imeshafikia 50% kama ukiamua usione hatua walizofikia huwezi kuona ndio...
Sasa ukisema Jpm hajafanya kitu ntakushangaa sana maana mradi wa miaka mitatu hauwezi kuisha chini ya miaka 3..
Raisi mwenyewe ndio anajaza mwaka wake wa nne October na sgr awamu ya kwanza inakua tayari November. ..
MK254 mwakani wakati anamalizia awamu ya kwanza reli itakua imeshafika DODOMA ambazo ni 722km Za reli Ila umbali halisi wa Dar -Dom kwa barabara ni 450 km
 
Wakeni sawa Ruto ili UK akipewa mkopo asipige wote. Wachina wamegundua mnapoelekea sio pazuri, wameona na vema kuinusuru Kenya kabla hali haijaharibika zaidi. SGR ya Tanzania haina mauza uza kama hiyo ya kwenu, ni kweli china walikuwatayari kutoa mkopo lakini JPM akawashtukia nadhani kama mnaakili timamu mnajua ni kwa nini. SGR bongo itafika Mwanza, Kigali na Kigoma
 
Nakupa A kwenye lugha umeifanyia vyema,
Tz SGR Imeshafikia 50% kama ukiamua usione hatua walizofikia huwezi kuona ndio...
Sasa ukisema Jpm hajafanya kitu ntakushangaa sana maana mradi wa miaka mitatu hauwezi kuisha chini ya miaka 3..
Raisi mwenyewe ndio anajaza mwaka wake wa nne October na sgr awamu ya kwanza inakua tayari November. ..
MK254 mwakani wakati anamalizia awamu ya kwanza reli itakua imeshafika DODOMA ambazo ni 722km Za reli Ila umbali halisi wa Dar -Dom kwa barabara ni 450 km
wacha kutulisha matango pori. miaka minne ndio sasa munafika 50% kisha baada ya miezi sita inayokuja (Nov) mutakua munapokea nini wakati miaka minne sasa hamuelewekieleweki
 
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
TanzaGanda😂😂😂😂😂😂🇺🇬 🇹🇿
 
Wewe ndio unakuaga namba moja kuleta bad news za Tz humu jukwaani ukizisikia tena zingine unaletaga za uongo, ila nyie zikiletwa zenu mnakuaga wa kwanza kuwapa waTz majina ya ajabu ajabu, mnazipeleka hadi forum zingine, au ndo ule msemo wa *Nyani haoni kundule* ile siku utaacha kuleta habar za Tz humu na waTz nao wataacha, badilikeni Kenyans.

Ahaaa haaa haaa
Wikiend yote alikuwa bed rest baada ya pressure kuwa juu.

Ona hata anachoandika hakieleweki. Anaongea vitu ambavyo hakuna mtu asiye vijua.

Anasahau kwamba ni yeye aliye DRAW ATTENTION HAPA BAADA YA KUSEMA RAILA NA UHURU WAMEUNGANA KWENDA CHINA KUFUATA PESA ZA SGR KWA MASILAHI YA TAIFA. JE MAGUFULI NA MBOWE WANAWEZA KWENDA PAMOJA?

AHAAA haaa UZI ulifanya WATU watupie jicho kwa uangalifu kuona hayo MASILAHI ya taifa yakoje.
Kuja kushituka KENYA STRIKES MAPARACHICHI DEAL.

Mara tukasikia waziri anasema suala la SGR halikuwa agenda kwenye safari ya China. What a confusion!!

Kweli nimeamini majanga mengine ni ya kujitakia

CC: mk254
 
Nimeona propaganda machine wa CCM humu wanapishana kila mmoja mbioni aidha kuanziasha uzi au kutoa comments kuhusu hili la mkopo wa Mchina, halafu hawasemi kimoja waeleweke tatizo lao nini haswa, mara Mchina anachukua bandari ya Mombasa, mara amegoma hataki reli, yaani wenyewe wamechanganyikiwa kama nyumbu huku wakiongoza wengine wanaowasadiki.
Sikujua hili la mkopo wa Mchina huwa linawaumiza kiasi hiki

Naomba tuwekane sawa kwa kutumia facts
- Mchina tayari alitoa mkopo ambao umefanikisha mikondo miwili ya reli
- Mkondo wa kwanza Mombasa hadi Nairobi 500 km
- Mkondo wa pili Nairobi hadi Naivasha 120km hii inazindulia Agosti
- Mombasa hadi mpakani mwa Uganda ni 900km na tayari reli imefanikishwa 620km
- Kwa mtu mwenye akili anajua kilichosalia kitafanywa tu
- Mchina alitoa hela za reli ya Nakuru hadi Uganda ikarabatiwe upya
- Hii reli itaunga kwenye SGR, hivyo mwisho wa siku usafiri wa reli hadi Uganda kwa kutumia SGR bado upo
- Ni kwamba mizigo itakua inachana mbuga kwa kasi ya SGR kwa 620km za kwanza
- Kisha inapokezwa kwa reli ya zamani ambayo inakarabatiwa
- Hapo tutakua tunaendelea kulipa mkopo wa sasa hadi pale itakua nafuu kupokea mkopo wa kipande kilichosalia
- Ifahamike Mchina aligomea masharti ya rais Uhuru, sio kwamba alikataa kutoa mkopo, ila Uhuru alitaka Mchina agharamikie SGR kwenye mahesabu yake ya ule mkanda wake wa Belt and Road, kwa kifupi aliombwa atoe nusu ya hela kama ruzuku na nusu kama mkopo usiokua na riba


Sasa tuje kwenye upande wa pili kwa CCM wanaokesha humu wakisema sema kuhusu SGR na mkopo wa Mchina
- Reli yenu na Mturuki ni 200km hata sio nusu ya tulichofanikisha
- Reli yenyewe bado hata sijui mko asilimia ngapi kule maporini
- Bado hamna cha kuonyesha zaidi ya mapicha mapicha tu ya vibarua wakichimba chimba na mataluma ambayo mnalaza
- Nakumbuka rais Uhuru kwa hatamu ya kwanza alikua amekamilisha 500km wakat anakwenda kuomba kura kwa ajili ya hatamu ya pili
- Hapo Tanzania CCM kasafu ka 200km bado hamjafikia hatua za kukatumia kuomba kura na miaka mitano inaisha
- Bahati yenu Watanzania wapo wapo tu, wao hupiga kura kwa mihemko ya kuona pushup za wagombea, ingekua wanahoji maendeleo, sidhani kama mngefaulu kurudi, maana hadi hapo hamna kimoja mumesimamisha kikaonekana zaidi ya makelele ya kuhamia Dodoma na korosho
- Uchumi wenu takwimu zinaonyesha umeshuka kasi, sijui Kikwete alikua anawezaje kwa kweli, yule angeendelea kuwa rais huko naona mngeanza kutukaribia, ila kwa sasa pengo limepanuka yaani hadi hata mkipewa Uganda iwe nchi moja ya TanzaGanda bado mtakua nyuma yetu
Nyie si mmepewa soko la maparachichi!ridhikeni na hilo soko but mkopo no,pambaneni na hali yenu,kwa taarifa yako tu jana jpm kafungua bonge la kiwanda cha parachichi ndani ya green city,nyang'au parachichi zenu pelekeni china
 
Back
Top Bottom