Hili la mbunge baraza la wawakilishi kuwadharau samaki aina ya Kambale na Sato wa ziwa Victoria lisipite pasipo mjadala. Linatoa picha mbaya

Haitoi picha mbaya watu wamekula hela eti kuanzisha uvui wa sangara,sato na kambale ,watu mmezungukwa na bahari halafu unataka mabilioni upewe ili uanzishe ufugaji wa kambale,
Hivi mleta mada akili zenu ndio zilivyo ? sa nazidi kufaamu kwanini pale bungeni mnapiga makofi kwa kutumia meza kuyapongeza mazingahombwe kama haya.

Aafu mnataka tuendeleze muungano kwa akili hizi za kufuga kambale,na Zanzibar kiujumla hawali kambale wala sangala wala sato ,kiujumla kwa maana ukileta kipasenteji pengine wanaokula ni 0.0000001%.
Aafu Mmasai wa Zanzibar umwambie ale kambale.bora muungano ufe.
Kule China na nchi nyingine wamezungukwa na bahari na bado wanafuga samaki ambao huuzwa duniani kote, hii ni biashara acha uzuzu wewe mla vibua, tukifuga huku bara chondechonde msije anza kutaka mapato yatokanayo na ufugaji wa samaki tugawane sawa,kwa maana nyie hamkuwii kudai ''chenu chetu na chetu si chenu'' acheni uvivu fugeni hao samaki,samaki wa kufuga ni rahisi kuwa control na una kuwa na hakika nao tofauti na hao wa baharini au ziwani.
 
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera watu.
Wazanzibari wanakula konokono
 
Kauli dhidi ya samaki ilete chuki, lakini mauaji yasilete? Umeishiwa hoja mkuu.
Naongelea maneno ya dharau dhidi ya samaki kwa watu wa ziwa Victoria.

Hayo masuala ya mauaji yapo miaka na miaka. Utatuzi wake ni mpana na wa kisiasa.
 
Kule China na nchi nyingine wamezungukwa na bahari na bado wanafuga samaki ambao huuzwa duniani kote, hii ni biashara acha uzuzu wewe mla vibua, tukifuga huku bara chondechonde msije anza kutaka mapato yatokanayo na ufugaji wa samaki tugawane sawa,kwa maana nyie hamkuwii kudai ''chenu chetu na chetu si chenu'' acheni uvivu fugeni hao samaki,samaki wa kufuga ni rahisi kuwa control na una kuwa na hakika nao tofauti na hao wa baharini au ziwani.
Mbunge hataki kujaribu kitu kipya maishani anataka abakie katika ile ile comfort zone iliyozoeleka
 
Hapa natoa mrejesho wa uhalisia, ww mwenzangu naona una uchungu na samaki wa maji baridi kukataliwa na wazenji.
Uzi huu unaongelea suala la samaki na ninaamini kuna nyuzi nyingi tu zenye kuongelea masuala ya mauaji ya Zanzibar.
 
asik
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera wa
asikuumize kichwa, hana maarifa hajui hata kwamba samaki wa ziwa victoria maji baridi wakipandikizwa kwao huko bahari yao maji chumvi hawatastahamili. haelewi hata osmosisi nini na mwishowe atasema wabara wasikanyage zenj
 
asik

asikuumize kichwa, hana maarifa hajui hata kwamba samaki wa ziwa victoria maji baridi wakipandikizwa kwao huko bahari yao maji chumvi hawatastahamili. haelewi hata osmosisi nini na mwishowe atasema wabara wasikanyage zenj
Okay kumbe ni suala la ukosefu wa elimu. Kaongea kwa kujiamini kabisa kumbe anastahili kupewa shule zaidi.
 
Kule China na nchi nyingine wamezungukwa na bahari na bado wanafuga samaki ambao huuzwa duniani kote, hii ni biashara acha uzuzu wewe mla vibua, tukifuga huku bara chondechonde msije anza kutaka mapato yatokanayo na ufugaji wa samaki tugawane sawa,kwa maana nyie hamkuwii kudai ''chenu chetu na chetu si chenu'' acheni uvivu fugeni hao samaki,samaki wa kufuga ni rahisi kuwa control na una kuwa na hakika nao tofauti na hao wa baharini au ziwani.
Eti hao wa bara ni kibudu
 
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera watu.
Ni haki yake kutoa mawazo yake. Na isitoshe siyo azimio la baraza zima.
 
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera watu.
Nilimsikia na mimi yule muwakilishi huko Zenj.
Lakini ni kama alikuwa amepagawa na hajui kile anachotaka, ni kama mjinga mjinga fuani hivi.
Bishara ni huria, yeye hataki samaki sato wala kambare, halafu bahari imemzunguka.
Kaa si mwehu sijui utamwelewaje?
 
Back
Top Bottom