Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,061
Habarini wananzengo,
Najua wote tunajua Mbowe amekuja na mkakati wa kuongeza mapato chamani kwa kile alichokiita kwa kutumia kadi za kielekroniki.
Sina tatizo kabisa na hilo ila tatizo langu ni moja kabla kamanda Mbowe hajaanza kukusanya haya manoti kwa makamanda wa chama, atusaidie tujue mchanagnuo wa masuala yafuatayo:
Mpaka sasa tangu 1995 CHADEMA inapokea mabilioni kutoka serikali ya CCM kama ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi yanakwenda wapi.Imefikia wakati ambao hata kwenye majimbo mliyopewa hamchimbi hata visima mnachofanya ni kukodi chopa na kununua mafuta ya chopa na kuwatoa kina Lema kwa kesi zakujitakia.
Sabodo amefadhili chamaa weeee mpaka amechoka, pesa zinatunisha akaunti ya Mbowe tu na kusaidia familia yake yake mpaka sasa hata ofisi mmeshindwa kujenga kwa kuwa mmepanga kwenye jengo kitega uchumi cha Mtei
CDU na Conservative wametoa misaada weee Mbowe anakula tu.Hakuna asiyejua pesa za conservative kuanzisha Tanzania Daima ambalo ni gazeti la Mbowe.
Sadaka za kwenye mikutanao zinaliwa tu.God help!!!!
Tunaombaufafanuzi isije kuwa ni mbinu ya kulipa madeni yenu.
Najua wote tunajua Mbowe amekuja na mkakati wa kuongeza mapato chamani kwa kile alichokiita kwa kutumia kadi za kielekroniki.
Sina tatizo kabisa na hilo ila tatizo langu ni moja kabla kamanda Mbowe hajaanza kukusanya haya manoti kwa makamanda wa chama, atusaidie tujue mchanagnuo wa masuala yafuatayo:
Mpaka sasa tangu 1995 CHADEMA inapokea mabilioni kutoka serikali ya CCM kama ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi yanakwenda wapi.Imefikia wakati ambao hata kwenye majimbo mliyopewa hamchimbi hata visima mnachofanya ni kukodi chopa na kununua mafuta ya chopa na kuwatoa kina Lema kwa kesi zakujitakia.
Sabodo amefadhili chamaa weeee mpaka amechoka, pesa zinatunisha akaunti ya Mbowe tu na kusaidia familia yake yake mpaka sasa hata ofisi mmeshindwa kujenga kwa kuwa mmepanga kwenye jengo kitega uchumi cha Mtei
CDU na Conservative wametoa misaada weee Mbowe anakula tu.Hakuna asiyejua pesa za conservative kuanzisha Tanzania Daima ambalo ni gazeti la Mbowe.
Sadaka za kwenye mikutanao zinaliwa tu.God help!!!!
Tunaombaufafanuzi isije kuwa ni mbinu ya kulipa madeni yenu.