johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,560
Kama Serikali itataka kufanya shughuli zote hadi za kubeba nyama kutoka machinjio mpya ya Vingunguti na kusambaza mabuchani basi sekta binafsi inaweza kudhoofu sana.
Nilimsikia Naibu Waziri wa mifugo mh Gekui akiipongeza Manispaa ya Ilala kwa ubunifu huo wa kusafirisha nyama.
Ni vema Serikali ikajikita kwenye kuchochea ukuaji wa sekta binafsi na ishiriki kwenye miradi mikubwa tu siyo hii ya kumiliki viholiholi vya kubebea nyama machinjioni.
Maendeleo hayana vyama!
Nilimsikia Naibu Waziri wa mifugo mh Gekui akiipongeza Manispaa ya Ilala kwa ubunifu huo wa kusafirisha nyama.
Ni vema Serikali ikajikita kwenye kuchochea ukuaji wa sekta binafsi na ishiriki kwenye miradi mikubwa tu siyo hii ya kumiliki viholiholi vya kubebea nyama machinjioni.
Maendeleo hayana vyama!