YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Hali ya magari Mengi ya kubeba nyama yalikuwa hali mbaya na hayuko kwenye viwango ngoja halmashauri wawaonyeshe mfano
Pia bucha watu haziko kwenye standard mshauri wafanyabiadhara watembelee bucha za hapo mombada Kenya makuu nadhani haizidi hata elfu 20 kwenda waone bucha za wenzetu zilivyo hizo za kwetu za kukatia nyama kwenye gogo chafu lisilooga miaka mmmmmmmm
Pia bucha watu haziko kwenye standard mshauri wafanyabiadhara watembelee bucha za hapo mombada Kenya makuu nadhani haizidi hata elfu 20 kwenda waone bucha za wenzetu zilivyo hizo za kwetu za kukatia nyama kwenye gogo chafu lisilooga miaka mmmmmmmm