Hili la makampuni ya simu kulazimishwa kujiunga na soko la mitaji limekaaje?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,803
13,034
Hivi karibuni tumesikia na kuona matangazo kadhaa ya kuwaagiza makamuni ya simu kujiunga na Dar Stock Exchange(DSE).

Tulimsikia waziri wa Mawasiliano na Ujenzi Prof Makame Mbarawa mwishoni mwa mwaka jana akisema ni lazima makampuni ya simu yajiunge na DSE kufikia tarh 31 Dec 2016.
Yaliyoitikia ni mawili au matatu tu.

Najua kuna sheria ya namna ya kujiunga na DSE pamoja na sheria za EPPOCA~Electronic annd Postal Communications Act, na CMSA~Capital Markets and Securities Authority regulations.

Lakini logic ya kampuni binafsi(Private Company) kujiunga na any stock exchange, ni ili kupata capital na kuuza shares zake.
Kama kampuni binafsi haitaki kuuza shares au kuomba mtaji toka kwenye public shareholders, kuna uulazima gani kujiunga na DSE?

Naomba kueleweshwa wanabodi.
 
Kuyalazimisha makampuni ya simu kuwa listed kwenye Dar es Salaam stock excharge kuna faida kubwa sana
Zifuatazo ni faida hizo
Moja, ni ukweli usiopingika kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu sana kuwa kampuni hizi zimekuwa zikificha hesabu zake
Kwa lengo la kukwepa kulipa kodi stahiki
Hivyo wakiwa listed DSE
Itawalazimu makampuni haya kuweka wazi mahesabu yao yote, ili shareholders waweze kujua maendeleo ya kampuni hizo
Kwani nao watakuwa ni sehemu ya umiliki
Hivyo itasaidia nchi kupata mapato stahiki katika kodi
Mbili, itanufaisha umma wa Watanzania kuwa sehemu ya umiliki wa makampuni haya
Hasa ukizingatia kuwa yamekuwa yakipata faida kubwa sana
Kwa hiyo sehemu ya faida hiyo itabaki humu humu ndani
Hizo ni sababu mojawapo inayoelekea serikali kuwalazimisha wawe listed DSE
Hata makampuni ya madini nayo yanapaswa yawe listed DSE
Kupunguza mwanya wa kukwepa kulipa kodi stahiki
 
Kuyalazimisha makampuni ya simu kuwa listed kwenye Dar es Salaam stock excharge kuna faida kubwa sana
Zifuatazo ni faida hizo
Moja, ni ukweli usiopingika kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu sana kuwa kampuni hizi zimekuwa zikificha hesabu zake
Kwa lengo la kukwepa kulipa kodi stahiki
Hivyo wakiwa listed DSE
Itawalazimu makampuni haya kuweka wazi mahesabu yao yote, ili shareholders waweze kujua maendeleo ya kampuni hizo
Kwani nao watakuwa ni sehemu ya umiliki
Hivyo itasaidia nchi kupata mapato stahiki katika kodi
Mbili, itanufaisha umma wa Watanzania kuwa sehemu ya umiliki wa makampuni haya
Hasa ukizingatia kuwa yamekuwa yakipata faida kubwa sana
Kwa hiyo sehemu ya faida hiyo itabaki humu humu ndani
Hizo ni sababu mojawapo inayoelekea serikali kuwalazimisha wawe listed DSE
Hata makampuni ya madini nayo yanapaswa yawe listed DSE
Kupynguza mwaya wa kukwepa kulipa kodi stahiki
Mkuu asante kwa maoni mazuri.
Lakini essence ya Capital Markets ni kuraise capital na si monitoring company financial performance.
Hapo ina maana kama kuna ulazima kisheria kulist, basi vile vile kuna idara ya serikali ambayo ina udhaifu katika utendaji wake wa kufuatilia mahesabu ya kampuni binafsi.

Na kwa mtaji huo, basi kila kampuni binafsi itakwepaje utaratibu huo?
 
Kuyalazimisha makampuni ya simu kuwa listed kwenye Dar es Salaam stock excharge kuna faida kubwa sana
Zifuatazo ni faida hizo
Moja, ni ukweli usiopingika kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu sana kuwa kampuni hizi zimekuwa zikificha hesabu zake
Kwa lengo la kukwepa kulipa kodi stahiki
Hivyo wakiwa listed DSE
Itawalazimu makampuni haya kuweka wazi mahesabu yao yote, ili shareholders waweze kujua maendeleo ya kampuni hizo
Kwani nao watakuwa ni sehemu ya umiliki
Hivyo itasaidia nchi kupata mapato stahiki katika kodi
Mbili, itanufaisha umma wa Watanzania kuwa sehemu ya umiliki wa makampuni haya
Hasa ukizingatia kuwa yamekuwa yakipata faida kubwa sana
Kwa hiyo sehemu ya faida hiyo itabaki humu humu ndani
Hizo ni sababu mojawapo inayoelekea serikali kuwalazimisha wawe listed DSE
Hata makampuni ya madini nayo yanapaswa yawe listed DSE
Kupynguza mwaya wa kukwepa kulipa kodi stahiki
Mkuu angalia vizuri, waongea kama mtu asiye katika biashara.
Tatueni tatizo la kupata hesabu za makampuni kutoka TRA.
Au wameshindwa kazi?
Na makampuni ya simu yakiwa listed DSE, una uhakika gani kuwa mahesabu yatakuwa sahihi?
 
Kuyalazimisha makampuni ya simu kuwa listed kwenye Dar es Salaam stock excharge kuna faida kubwa sana
Zifuatazo ni faida hizo
Moja, ni ukweli usiopingika kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu sana kuwa kampuni hizi zimekuwa zikificha hesabu zake
Kwa lengo la kukwepa kulipa kodi stahiki
Hivyo wakiwa listed DSE
Itawalazimu makampuni haya kuweka wazi mahesabu yao yote, ili shareholders waweze kujua maendeleo ya kampuni hizo
Kwani nao watakuwa ni sehemu ya umiliki
Hivyo itasaidia nchi kupata mapato stahiki katika kodi
Mbili, itanufaisha umma wa Watanzania kuwa sehemu ya umiliki wa makampuni haya
Hasa ukizingatia kuwa yamekuwa yakipata faida kubwa sana
Kwa hiyo sehemu ya faida hiyo itabaki humu humu ndani
Hizo ni sababu mojawapo inayoelekea serikali kuwalazimisha wawe listed DSE
Hata makampuni ya madini nayo yanapaswa yawe listed DSE
Kupynguza mwaya wa kukwepa kulipa kodi stahiki
BS.. Hivi unajua kwanini biashara zinaamua kushiriki au kutoshiriki ktk Haya masoko Ya mitaji? ?
 
BS.. Hivi unajua kwanini biashara zinaamua kushiriki au kutoshiriki ktk Haya masoko Ya mitaji? ?

Hii ni nafasi ya kuwainclude wateja wao kama wamiliki.si vizuri kukamua faida halafu hutaki wamiliki sehemu ya shughuli yako
 
Hii ni nafasi ya kuwainclude wateja wao kama wamiliki.si vizuri kukamua faida halafu hutaki wamiliki sehemu ya shughuli yako
Hili Siyo jibu sahihi.. Kampuni inayoamua kuuza hisa inafanya hivyo ili kujiongezea mtaji na ufanisi, na Siyo lazima Hao wanaonunua hisa wawe wateja wa hiyo biashara. Kwanini serekali inamlazimisha mfanya biashara aliyejitosheleza kimtaji ausishe watu wa nje ktk biashara Yake? Serekali haujui maana dhabiti Ya uchumi Wa kibepari
 
Hili Siyo jibu sahihi.. Kampuni inayoamua kuuza hisa inafanya hivyo ili kujiongezea mtaji na ufanisi, na Siyo lazima Hao wanaonunua hisa wawe wateja wa hiyo biashara. Kwanini serekali inamlazimisha mfanya biashara aliyejitosheleza kimtaji ausishe watu wa nje ktk biashara Yake? Serekali haujui maana dhabiti Ya uchumi Wa kibepari

Kwa hiyo hamtaki..Inamaana hatak gesi na mafut hamtaki waje waambiwe siku moja wawauzie share watanzania?? Kweli wabongo kwa kutetea wakoloni wako mbele kwa maslahi yao binafsi?Kwanini kampuni zinatumia kila njia kukataa wazo hili zuri ambalo nchi nyingine wanafanya?
 
Hili Siyo jibu sahihi.. Kampuni inayoamua kuuza hisa inafanya hivyo ili kujiongezea mtaji na ufanisi, na Siyo lazima Hao wanaonunua hisa wawe wateja wa hiyo biashara. Kwanini serekali inamlazimisha mfanya biashara aliyejitosheleza kimtaji ausishe watu wa nje ktk biashara Yake? Serekali haujui maana dhabiti Ya uchumi Wa kibepari
Very good!
Tatizo kubwa hata watumishi wengi sekta ya biashara serikalini, hawajui maana soko la mitaji.
Wanafikiri hapo ni mtu kujipatia shares tu za kununua kampuni na umiliki.
Hilo ni SOKO, PERIOD!
Na sokoni mtu unauza na kununua, kupata umiliki wa kampuni sio lengo lake la kwanza.

Mfanyabiashara anapoenda soko la hisa, lengo lake la kwanza ni kupata mtaji.
Hili la kupata gawio la fsida ni secondary.
 
Mkuu angalia vizuri, waongea kama mtu asiye katika biashara.
Tatueni tatizo la kupata hesabu za makampuni kutoka TRA.
Au wameshindwa kazi?
Na makampuni ya simu yakiwa listed DSE, una uhakika gani kuwa mahesabu yatakuwa sahihi?
Hilo swala la hesabu ni sab mojawapo sab ziko nyingi zinasaidiana hivyo kila sab inachangia asilimia kadhaa na kuleta attributed concrete reason
 
Hivi karibuni tumesikia na kuona matangazo kadhaa ya kuwaagiza makamuni ya simu kujiunga na Dar Stick Exchange(DSE).

Tulimsikia waxiri wa Mawasiliano na Ujenzi Prof Makame Mbarawa mwishoni mwa mwaka jana akisema ni lazima makampuni ya simu yajiunge na DSE kufikia tarh 31 Dec 2016.

Yaliyoitikia ni mawili au matatu tu.

Najua kuna sheria ya namna ya kujiunga na DSE pamoja na sheria za EPPOCA~Electronic annd Postal Communications Act, na CMSA~Capital Markets and Securities Authority regulations.

Lakini logic ya kampuni binafsi kujiunga na any stock exchange, ni ili kupata capital na kuuza shares zake.


Kama kampuni binafsi haitaki kuuza shares au kuomba mtaji toka kwenye public shareholders, kuna uulazima gani kujiunga na DSE?

Naomba kueleweshwa wanabodi.

Kwa biashara yoyote ilete mafanikio lazima iwe demand driven, lakini hili naona is more supply driven
 
Mimi sitetei ukoloni, ninachosema ni kwamba kuuza au kuto kuuza hisa ktk masoko Ya mitaji ni uamuzi wa kibiashara na serekali haipaswi kuwaingilia wafanya biashara ktk utendaji wao. Kama serekali inataka kuwasaidia watu wake Basi imiliki hizo biashara Kama mashirika Ya uma.. This is business my friends... Free market economy.. You get that? Kama serekali inataka uchumi Wa kijamaa na kikomunisti itamke... Mtaanza kununua Sukari na unga wa dona kwa rations...! Unakunbuka Hii kitu?
 
Hili Siyo jibu sahihi.. Kampuni inayoamua kuuza hisa inafanya hivyo ili kujiongezea mtaji na ufanisi, na Siyo lazima Hao wanaonunua hisa wawe wateja wa hiyo biashara. Kwanini serekali inamlazimisha mfanya biashara aliyejitosheleza kimtaji ausishe watu wa nje ktk biashara Yake? Serekali haujui maana dhabiti Ya uchumi Wa kibepari
Au labda wakati wanaruhusiwa kuwekeza kulikuwa na sharti kuwa watatoka private kwenda public company baada ya kipindi fulani.
 
Very good!
Tatizo kubwa hata watumishi wengi sekta ya biashara serikalini, hawajui maana soko la mitaji.
Wanafikiri hapo ni mtu kujipatia shares tu za kununua kampuni na umiliki.
Hilo ni SOKO, PERIOD!
Na sokoni mtu unauza na kununua, kupata umiliki wa kampuni sio lengo lake la kwanza.

Mfanyabiashara anapoenda soko la hisa, lengo lake la kwanza ni kupata mtaji.
Hili la kupata gawio la fsida ni secondary.
Amen! Wape somo ndugu
 
Kwanza nakupongeza kuileta hii mada, mi shida yangu kubwa ni jinsi ya kununua hizo hisa mwenye kuelewa naomba anieleweshe please
 
Au labda wakati wanaruhusiwa kuwekeza kulikuwa na sharti kuwa watatoka private kwenda public company baada ya kipindi fulani.
Hamna kitu Kama hicho..Kampuni iliyo na mtaji wa kutosha haitaji kwenda public... Ukiwa public company Inabidi vitabu vyako viwe wazi na maripoti Ya Mara kwa Mara. Biashara iliyo kamili na mtaji wa kutosha haina haja ya kwenda dse.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom