Imemchoma vipi??, Wabongo shida kweli.Jinsi ulivyoandika utakuwa kama vile ya jana kuwaona wana furaha wapenzi hao imekuchomaaaa haswa
Imemchoma vipi??, Wabongo shida kweli.
Na matukio ya jana ya siku ya kuzaliwa Majizzo. Wewe ndio shida haswa unauliza huku unaandika upupwu juu
Haka KALULU hakana UZAZI au ndo dharau za jamaa
Vipo kuhusiana na wale wanao comment juu ya vitu visivyowahusu wanakua na maisha gani mkuu?Watu mnaokwazika kwa mambo yasiyowahusu mna maisha yasiyo na furaha sana.
Watu wanafki sanaVipo kuhusiana na wale wanao comment juu ya vitu visivyowahusu wanakua na maisha gani mkuu?