Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kwanza kabisa limewashtua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo wa utoaji taarifa ni Rais,Waziri Mkuu au Waziri wa Afya, kwanini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya Covid 19 hapa nchini?
Ok fine, kama kiongozi wa Serikali ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es Salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.
Kwanini Serikali ya Rais Magufuli haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazil yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwanini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?
Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi halafu Serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?
Ok fine, kama kiongozi wa Serikali ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es Salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.
Kwanini Serikali ya Rais Magufuli haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazil yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwanini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?
Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi halafu Serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?