Daddo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,433
- 1,019
Wakubwa hili jambo limekuwa likinitafakarisha sana. Kuna baadhi ya maeneo hapa katika jiji la Makonda ukipaki chombo cha moto unaona anakuja mtu anakuwekea risiti kwenye Wiper.
Hilo kwangu halina tatizo, shida ni kile kilichoandikwa kwenye risiti. Kuna sentensi kama PARK AT YOUR OWN RISK na nyingine inasema STAKABADHI HII NI HALALI KWA FEDHA ILIYOLIPWA.
Hii inakuwaje? Kwamba pesa nalipa inachukuliwa lakini nikikuta shida kwenye chombo nisiulize Wala tusijuane na aliyenilipisha?
Nimeambatisha picha hapo ili muweze kuelewa ninachozungumzia.View attachment 1331169
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo kwangu halina tatizo, shida ni kile kilichoandikwa kwenye risiti. Kuna sentensi kama PARK AT YOUR OWN RISK na nyingine inasema STAKABADHI HII NI HALALI KWA FEDHA ILIYOLIPWA.
Hii inakuwaje? Kwamba pesa nalipa inachukuliwa lakini nikikuta shida kwenye chombo nisiulize Wala tusijuane na aliyenilipisha?
Nimeambatisha picha hapo ili muweze kuelewa ninachozungumzia.View attachment 1331169
Sent using Jamii Forums mobile app