Raisi Magufuli aliagiza Halimashari za vijijini kuhama kutoka makao makuu ya Wilayana kwenda nje ya miji. Na leo nimeona Majaliwa akisisitiza hilo.
Kwa mtazamo wangu naona jambo hili halikutazamwa kwa mapana na marefu kujua umuhimu wake na adhari zake kwa watu wa Wilaya husika. Mfano, huduma nyingi za kijamii hupatikana makao makuu ya Wilaya, hata njia nyingi za usafiri zimejengwa kuelekea makao makuu ya Wilaya hizo. Sasa Halimashari za vijijini zinahamishiwa nje ya makao makuu ya wilaya husika ambako hakuna huduma za msingi na wananchi wa maeneo mengine Wilayani ni vigumu kufika huko kupata huduma za msingi. Wakati mwingine wananchi inabidi wapite makao makuu ya Wilaya kwenda upande wa pili kufuata makao makuu ya Halimshauri yao. naona hapa ni kama kuanzisha Wilaya ndani ya Wilaya.
Hata ugawaji wa Majimbo ya uchaguzi naona haufanyiki vizuri. Mfano, Mbunge wa Korogwe mjini ana eneo dogo sana la kuhudumia kasi kwamba ndani ya saa moja anaweza kutembelea eneo lake lote. Lakini Mbunge wa Korogwe vijijini inaweza kumchukua mwezi mzima kutembelea kata na vijiji vyake. Nashashauri kungekuwa na tume ya kuunda mipaka au Bunge litumike wakati wa kuunda maeneo ya kiutawela. kuliko ilivyo sasa ambapo Magu akisema inakuwa hivyo.
Kwa mtazamo wangu naona jambo hili halikutazamwa kwa mapana na marefu kujua umuhimu wake na adhari zake kwa watu wa Wilaya husika. Mfano, huduma nyingi za kijamii hupatikana makao makuu ya Wilaya, hata njia nyingi za usafiri zimejengwa kuelekea makao makuu ya Wilaya hizo. Sasa Halimashari za vijijini zinahamishiwa nje ya makao makuu ya wilaya husika ambako hakuna huduma za msingi na wananchi wa maeneo mengine Wilayani ni vigumu kufika huko kupata huduma za msingi. Wakati mwingine wananchi inabidi wapite makao makuu ya Wilaya kwenda upande wa pili kufuata makao makuu ya Halimshauri yao. naona hapa ni kama kuanzisha Wilaya ndani ya Wilaya.
Hata ugawaji wa Majimbo ya uchaguzi naona haufanyiki vizuri. Mfano, Mbunge wa Korogwe mjini ana eneo dogo sana la kuhudumia kasi kwamba ndani ya saa moja anaweza kutembelea eneo lake lote. Lakini Mbunge wa Korogwe vijijini inaweza kumchukua mwezi mzima kutembelea kata na vijiji vyake. Nashashauri kungekuwa na tume ya kuunda mipaka au Bunge litumike wakati wa kuunda maeneo ya kiutawela. kuliko ilivyo sasa ambapo Magu akisema inakuwa hivyo.