Hili la kutoa watumishi raia kwenye majeshi naona halijakaa poa!

Ndikwega

R I P
Feb 1, 2012
5,979
5,524
Leo Mh.Rais ametamka kuwa watumishi Raia hawatakiwi Majeshini, lakini je ametumia muda kulifikiria hata kuomba kushauriwa na kujiuliza chimbuko la majeshi kuwa na Watumishi Raia?

Kwa uelewa wangu Mdogo nadhani kuwekwa Watumishi Raia kwenye Majeshi ilikuwa ni kuwadhibiti hawa wanaojiita afande hususani katika Amri zao.

Mfano mkubwa wa taasisi ya Jeshi mathalani RPC anamfuata Mhasibu na kumwambia lipa haya malipo, na kanuni ya Jeshi ni Tekeleza kwanza ndiyo hoji baadaye.

Sasa kwa upande wa Watumishi Raia walikuwa na nafasi ya kuhoji anachoona hakielewi, Askari huwa hawana hiyo nafasi.

Kwa maoni yangu anawaruhusu kwenda kufanya madudu ambayo wenzao waliyomtangulia Rais waliyaona hayo na ndiyo maana waliweka watumishi Raia humo kwenye majeshi.

Na akiwanyanyasa saana hawa Askari kiukweli anajua madhara yake.

Hata hivyo tunawakaribisha huku kwingine watakaoondolewa huko Majeshini. Karibuni.
 
Leo Mh.Rais ametamka kuwa watumishi Raia hawatakiwi Majeshini, lakini je ametumia muda kulifikiria hata kuomba kushauriwa na kujiuliza chimbuko la majeshi kuwa na Watumishi Raia?

Kwa uelewa wangu Mdogo nadhani kuwekwa Watumishi Raia kwenye Majeshi ilikuwa ni kuwadhibiti hawa wanaojiita afande hususani katika Amri zao.

Mfano mkubwa wa taasisi ya Jeshi mathalani RPC anamfuata Mhasibu na kumwambia lipa haya malipo, na kanuni ya Jeshi ni Tekeleza kwanza ndiyo hoji baadaye.

Sasa kwa upande wa Watumishi Raia walikuwa na nafasi ya kuhoji anachoona hakielewi, Askari huwa hawana hiyo nafasi.

Kwa maoni yangu anawaruhusu kwenda kufanya madudu ambayo wenzao waliyomtangulia Rais waliyaona hayo na ndiyo maana waliweka watumishi Raia humo kwenye majeshi.

Na akiwanyanyasa saana hawa Askari kiukweli anajua madhara yake.

Hata hivyo tunawakaribisha huku kwingine watakaoondolewa huko Majeshini. Karibuni.
kwa hiyo hata wafagizi ,wapika chai watakuwa polisi na wanajeshi ,Mkuu wa kaya hapa anatakiwa afikirie nje ya box
 
Jambo La Msingi Ni Kufuata Sheria Tu. Muhasibu Anatambulika Na Hazina So Hata Akiwa Askari Au Raia Kama Utaratibu Wa Sheria Utafuatwa Sioni Kama Kuna Ulazima.

Huyo Muhasibu Raia Mbona Kavurunda Sasa Kama Kigezo Ni Kutofuatwa Amri Za Kijeshi Kushinikizwa Alipe Malipo Yasiyo Sahihi?!.

Mimi Sioni Tatzo Hata Kidogo Kama Atawekwa Askari Au Raia Lakn Afuate Sheria, Ila Akiwekwa Askari Ni Vizuri Zaidi Maana Wao Wananamna Yao Yq Kuwajibishana Kabla Ya Sheria Ya Nje Ya Jeshi kuchukua Nafasi.
 
Leo Mh.Rais ametamka kuwa watumishi Raia hawatakiwi Majeshini, lakini je ametumia muda kulifikiria hata kuomba kushauriwa na kujiuliza chimbuko la majeshi kuwa na Watumishi Raia?

Kwa uelewa wangu Mdogo nadhani kuwekwa Watumishi Raia kwenye Majeshi ilikuwa ni kuwadhibiti hawa wanaojiita afande hususani katika Amri zao.

Mfano mkubwa wa taasisi ya Jeshi mathalani RPC anamfuata Mhasibu na kumwambia lipa haya malipo, na kanuni ya Jeshi ni Tekeleza kwanza ndiyo hoji baadaye.

Sasa kwa upande wa Watumishi Raia walikuwa na nafasi ya kuhoji anachoona hakielewi, Askari huwa hawana hiyo nafasi.

Kwa maoni yangu anawaruhusu kwenda kufanya madudu ambayo wenzao waliyomtangulia Rais waliyaona hayo na ndiyo maana waliweka watumishi Raia humo kwenye majeshi.

Na akiwanyanyasa saana hawa Askari kiukweli anajua madhara yake.

Hata hivyo tunawakaribisha huku kwingine watakaoondolewa huko Majeshini. Karibuni.

I think the problem with this latest move is bigger than how you have put it or at least how it's being perceived by many.

utasemaje civil servants wasitumike ndani ya majeshi lakini hapo hapo wajeshi wawe civil servants? what's the catch?

sinister!!
 
Mhh haya ngoja tuone utekelezaji wake rasmi na mambo ya amri kwa wakubwa jeshini iwe polisi au kwingineko. Walitumia busara sana kuwena raia huko.
 
Yani mwaka wa fedha wa 2016/2017 ushakuwa qualified report hata kabla ukaguzi haujaanza... kutakuwa na limitation of scopes kibao...
Raia wameonekana wanaaribu katika majeshi yetu...
c3488ef710ecd3e5d2dc947070f4ff08.jpg
 
aise na umeona mbali sana nakumbuka kipindi nakuwa kuna sehemu tulikuwa tunaishi kambini alikuja mkuu mpya wa eneo hilo wewe aliamrisha askri wachimbe mashimo ya kambi ya kutupia takataka na hakuna aliekaidi maana mkubwa alisema...ndani ya muda mfupi mashimo yalichimbwa....na hisi pia ndani ya muda mfupi pesa nyingi sana zitachotwa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom