residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Tume imeruhusu vitu viwili vya ajabu.
Mosi ni kuruhusu watu kutumia vitambulisho mbadala (Pasi ya kusafiria na leseni ya udereva).
Pili ni kuruhusu mpiga kura kurudia kupiga tena kura iwapo alikosea.
Je,huu sio mwanya wa "ushindi wa kishindo"!?
Hii ya kuruhusu vitambulisho mbadala nakubaliana nalo,lakini kwa nini huu uamuzi uje wakati huu?
Hili la kurudia kupiga kura,hapana kwa kweli.
Kukosea kupi kunaruhusiwa kurudia?
Mosi ni kuruhusu watu kutumia vitambulisho mbadala (Pasi ya kusafiria na leseni ya udereva).
Pili ni kuruhusu mpiga kura kurudia kupiga tena kura iwapo alikosea.
Je,huu sio mwanya wa "ushindi wa kishindo"!?
Hii ya kuruhusu vitambulisho mbadala nakubaliana nalo,lakini kwa nini huu uamuzi uje wakati huu?
Hili la kurudia kupiga kura,hapana kwa kweli.
Kukosea kupi kunaruhusiwa kurudia?