uncledalali
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 249
- 115
Siku hizi vyuoni suala la kuwa na malecturer vikongwe yaani wazee kupitiliza limekuwa lakawaida. Utakuta lecturer mzee ata kuona ni shida, kusimama muda mrefu hawezi. Sasa unajiuliza mtu wanamna iyo ataweza kweli kudeliver somo vizuri ?? Jamani ata kama kuna uhaba wa lecturer tusifikie huko
Nawasilisha
Nawasilisha