pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 110
Salam wakuu,nimeenda nssf kufata mafao yangu ya miaka7 nimeambiwa mpka nifikishe miaka 55 ndo nichukue.naombeni msaada kwa anayejua,bado hata35 yrs sjafikisha.
Tafuta Wakili mfungue kesi kuwa wakati wewe unaingia NSSF mlikubaliana fao la kujitoa kwa hiyo unapinga maamuzi haya kwa sababu sheria hairuhusu kurudi nyuma bali ilitakiwa kuanza na waajiriwa wapyaSalam wakuu,nimeenda nssf kufata mafao yangu ya miaka7 nimeambiwa mpka nifikishe miaka 55 ndo nichukue.naombeni msaada kwa anayejua,bado hata35 yrs sjafikisha.
Wazo lako liko sahihi kabisaTafuta Wakili mfungue kesi kuwa wakati wewe unaingia NSSF mlikubaliana fao la kujitoa kwa hiyo unapinga maamuzi haya kwa sababu sheria hairuhusu kurudi nyuma bali ilitakiwa kuanza na waajiriwa wapya
Wazo lako liko sahihi kabisa
Ndo maon yako hayo mkuu?Subiri usipofika 55 atachukua ata mwanao kuwa mpole tu .