Naungana kabisa na mtoa mada,lakini swali langu ni kwamba mi binafsi nawafahamu waislamu wengi tu ambao tunapiga nao kitimoto,sasa hiyo kitimoto inakuwa imechinjwa na nani?Ok sasa tukikubaliana kuwa waislamu ndio pekee wenye haki ya kuchinja,je wako tayari pia kutusaidia kuchinja kitimoto?