Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Members wa Jf ni Cdm ?!Chadema mnapinga kila kitu?
Bia yetu angalia hoja zao
Odhis *
Members wa Jf ni Cdm ?!Chadema mnapinga kila kitu?
Yaani leo ndo kaharibu. Anashangaa shehe aliefunga msikiti. Hajui huu ugonjwa unaambukizwa kwa watu kwa njia ya contact. Watu wakifunga misikiti ni kwa sababu wanazuia contact.Hivi hawawez kumzuia asiongee mana kila akiongea anaharibu
Its not over until its over...
Insane? Sikiliza hotuba za Mwl JKN alikuwa anakohoa mara ngapi? Kukohoa imekua hoja ya kuhoji?Anaonekana yuko desperate na confused. Mimi nilikua nasikiliza kupitia radio, kuna mtu alikua anakohoa mara kwa mara, ni nani?
Umeshaulizia mamake anaendeleaje? Maana wote tunajua anauguzaOgopa sana huyu mtu anakwambia korona sio ishu, yeye kajificha, yupo tayari mamilioni ya watu yateketee lakini apige hela tu, 2015 ilikuwa ni mistake kubwa kumpa huyu mtu kazi ya uongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wananchi tumezidi kuwa wapumbavu. We need to change. This is too much.Tatizo sio Rais wala serikali. Tatizo ni wananchi wenyewe. Ni mambumbumbu mpaka yamepitiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeye mbona kaji lockdown.... au yeye ni Mhutu siyo Mtanzania?Rais Magufuli anazungumzia ujinga wa viongozi wako kutaka "lockdown", huku wakitegemea pesa za walipa kodi kuendesha familia zao. Msikilize vizuri
Wewe unawajua watu wa huko? Tutajuta kwa kuendekeza sie sie M.Kusema ukweli Rais Magufuli katupanda watanzania. Sasa kafikia hatua ya kuapisha viongozi wa nchi katika makazi yake binafsi.
Binafsi hii siyo sawa kabisa kimaadili. Hii nchi imekuwa mali binafsi?
This is just too much. Kwanini asiapishe viongozi huko Ikulu Dodoma ama Dar?Ama hapo ikulu ndogo Geita ama ikulu ndogo ama ofisi za serikali hapo Chato?
Nimeuliza swali ni nani alikua anakohoa? Jibu linapaswa kuwa ni fulani. Shule mnaenda kujifunza ujinga?Insane? Sikiliza hotuba za Mwl JKN alikuwa anakohoa mara ngapi? Kukohoa imekua hoja ya kuhoji?
Tatizo sio Rais wala serikali. Tatizo ni wananchi wenyewe. Ni mambumbumbu mpaka yamepitiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ye ndio anamkorogea uji??Umeshaulizia mamake anaendeleaje? Maana wote tunajua anauguza
OvaTatizo sio Rais wala serikali. Tatizo ni wananchi wenyewe. Ni mambumbumbu mpaka yamepitiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema ukweli Rais Magufuli katupanda watanzania. Sasa kafikia hatua ya kuapisha viongozi wa nchi katika makazi yake binafsi.
Binafsi hii siyo sawa kabisa kimaadili. Hii nchi imekuwa mali binafsi?
This is just too much. Kwanini asiapishe viongozi huko Ikulu Dodoma ama Dar?Ama hapo ikulu ndogo Geita ama ikulu ndogo ama ofisi za serikali hapo Chato?