Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,160
- 1,492
Walichokifanya KLM ni uzushi, uongo na uchonganishi wa Kimataifa, katika statement yao walisema Tanzania na Kenya kuna machafuko ya Kijamii hivyo ndege zao zinaweza kulazimika kubadili ratiba.
Wakenya walipiga kelele saana na baada ya muda wakafuta kimya kimya kuhusu Kenya na kuacha Tanzania.
Yawezekana kuna agenda au kuna watu wanapotosha, vyovyote Iwavyo Serikali yetu iko Macho, lakini ni Muhimu kila Mzalendo na anayeipenda Tanzania asikae Kimya.
Tanzania ni Salama siku zote.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Wakenya walipiga kelele saana na baada ya muda wakafuta kimya kimya kuhusu Kenya na kuacha Tanzania.
Yawezekana kuna agenda au kuna watu wanapotosha, vyovyote Iwavyo Serikali yetu iko Macho, lakini ni Muhimu kila Mzalendo na anayeipenda Tanzania asikae Kimya.
Tanzania ni Salama siku zote.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.