Hili Jambo limekuwa kero kwa wakazi, wafanyabiashara, abiria na wapita njia. Kituo kikuu Cha mabasi Nyegezi -Mwanza, hasa kwa upande wa nyuma Kuna eneo ambalo liko wazi, sehemu hiyo ndio inatumika Kama sehemu ya kuhifadhia takataka.
Vifaa maalumu vya kuhifadhia takataka vimejaa, hivyo kupelekea takataka kutupwa chini na kuzagaa hovyo, hii imekuwa kero kwa, abiria, wafanyabiashara, wapita njia na wakazi wanao zunguka eneo hili ukizingatia huu ni msimu wa mvua (kunaweza tokea mlipuko wa magonjwa kama kipindupindu nk), pia kumekuwa na harufu mbaya Sana inayo sababishwa na takataka hizi, pia baadhi ya wafanyabiasha wamefungua magenge karibu na takataka hizi wakituo huduma mbalimbali kwa wakazi na watu mbalimbili wanao pita katika eneo hili je,hii sio hatari kwa afya zao na wateja?
Je,nani anapaswa kuwajibika na suala hili au kuwajibishwa kwa maslahi mapema ya jamii kumbuka "Kinga ni Bora kuliko tiba" nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vifaa maalumu vya kuhifadhia takataka vimejaa, hivyo kupelekea takataka kutupwa chini na kuzagaa hovyo, hii imekuwa kero kwa, abiria, wafanyabiashara, wapita njia na wakazi wanao zunguka eneo hili ukizingatia huu ni msimu wa mvua (kunaweza tokea mlipuko wa magonjwa kama kipindupindu nk), pia kumekuwa na harufu mbaya Sana inayo sababishwa na takataka hizi, pia baadhi ya wafanyabiasha wamefungua magenge karibu na takataka hizi wakituo huduma mbalimbali kwa wakazi na watu mbalimbili wanao pita katika eneo hili je,hii sio hatari kwa afya zao na wateja?
Je,nani anapaswa kuwajibika na suala hili au kuwajibishwa kwa maslahi mapema ya jamii kumbuka "Kinga ni Bora kuliko tiba" nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app