Hili la Joshua Nassari ni moja mapito magumu watanzania wanayopitia kwa kuchagua upinzani

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,589
4,600
Unaacha kuwatumikia wananchi kisa maslahi yako binafsi? Joshua Nasari umewasikitisha sana wananchi wa Arumeru, umewafadhaisha na kuwasononesha. Watu wamekosa maneno ya kuelezea hisia za mioyo yao.

Muda ufaao ni ule wa kufanya maamuzi, hakika Joshua Nasari umewapa watu muda muafaka watanzania wa kuufikiria na kuamua juu ya upinzani, kwa hili nakupa kongole. Watanzania wanapata muda wa kuufiria upinzani kama sehemu ya watu kujitengenezea mazingira ya kujitumikia wao binafsi na si kuwatumia watu.

Mimi si mpinzani lakini kwa suala la Joshua Nasari nimevaa viatu vya waliompigia kura, hakika nimeona havinitoshi. Havinitoshi kwa sababu ni vikubwa sana, vinanipwaya. Watanzania walimvisha viatu vikubwa sana kijana Nassari, sasa vimempwaya.

Si kwa Nassari tu ambaye viatu alivyovaa vimempwaya, naweza kusema ni upinzani wote. Watanzania jitahidini kuvaa viatu vya saizi yetu, ni CCM tu ndio kiatu sahihi cha saizi yenu na hakipwai wala kubana. Ni kiatu kinachoongezeka ukubwa kwa kadiri ya mtu anavyokua.

Hili la Joshua Nassari naweza kusema ni moja ya mapito magumu watanzania wanayopitia kwa kuchagua upinzani ambao unakumbatia maslahi binafsi. Kijana Nassari huyo anakwea pipa kutimiza maslahi yake binafsi na kuacha maslahi ya Umma rehani.

Hili la Joshua Nassari limenipa funzo kubwa, napenda watanzania wajifunze pia kulinda maslahi yao kwa kukipigia kura chamachenye maslahi yao kwanza. Ni CCM tu chama chenye kujali maslahi ya umma wetu watanzania.
 
Japo sikuungi mkono ila nakubaliana nawe kwa jambo moja tuu.Joshua Nasari kazingua sana, ameonesha utoto wa kiwango cha phD.
 
Roho ya wivu na umasikini uliokujaa mwili mzima unakutesa
Nassari alikuwa kiongozi wa watu aliyetokana na uchaguzi. uchaguzi wa kidemokrasia ni gharama hivyo NASSARİ kaliingiza taifa katika gharama ambaye ilikuwa na nia ya kujinufaisha tumbo lake.

hiyo gharama huwezi kuifananisha na watu ambao kwa hiari yao wanahami chama kingine. demokrasia inamahitaji mengi na moja ya mahitaji hayo ni watu. sehemu ambako watu wapo tayati kuifuata ni pazuri
 
ni kweli kavuta mpunga mrefu, huko alipoahidiwa kuwasaliti wapiga kura wake
tatizo sisi wabunge tunawageuzaga wabunge kuwa ATM, unakuta lijitu linatiwa mimba likikosa ada linataka mbunge alisaidie badala ya kumwambia mjaza mimba, wabunge wetu wana msururu wa watu wanaotaka kuchota toka kwao , kuanzia viroba,ugoro,gambe mpaka hela ya matumizi, ukiwa mbunge ndugu wanataka waweke kambi kwako mpaka uishiwe
 
Unaacha kuwatumikia wananchi kisa maslahi yako binafsi? Joshua Nasari umewasikitisha sana wananchi wa Arumeru, umewafadhaisha na kuwasononesha. Watu wamekosa maneno ya kuelezea hisia za mioyo yao.

Muda ufaao ni ule wa kufanya maamuzi, hakika Joshua Nasari umewapa watu muda muafaka watanzania wa kuufikiria na kuamua juu ya upinzani, kwa hili nakupa kongole. Watanzania wanapata muda wa kuufiria upinzani kama sehemu ya watu kujitengenezea mazingira ya kujitumikia wao binafsi na si kuwatumia watu.

Mimi si mpinzani lakini kwa suala la Joshua Nasari nimevaa viatu vya waliompigia kura, hakika nimeona havinitoshi. Havinitoshi kwa sababu ni vikubwa sana, vinanipwaya. Watanzania walimvisha viatu vikubwa sana kijana Nassari, sasa vimempwaya.

Si kwa Nassari tu ambaye viatu alivyovaa vimempwaya, naweza kusema ni upinzani wote. Watanzania jitahidini kuvaa viatu vya saizi yetu, ni CCM tu ndio kiatu sahihi cha saizi yenu na hakipwai wala kubana. Ni kiatu kinachoongezeka ukubwa kwa kadiri ya mtu anavyokua.

Hili la Joshua Nassari naweza kusema ni moja ya mapito magumu watanzania wanayopitia kwa kuchagua upinzani ambao unakumbatia maslahi binafsi. Kijana Nassari huyo anakwea pipa kutimiza maslahi yake binafsi na kuacha maslahi ya Umma rehani.

Hili la Joshua Nassari limenipa funzo kubwa, napenda watanzania wajifunze pia kulinda maslahi yao kwa kukipigia kura chamachenye maslahi yao kwanza. Ni CCM tu chama chenye kujali maslahi ya umma wetu watanzania.
acha ufala,ccm tunayo zaidi ya miaka 50 hapa wilaya ya kibaha imetusaidia nini? hata barabara tu shida,
 
Nassari alikuwa kiongozi wa watu aliyetokana na uchaguzi. uchaguzi wa kidemokrasia ni gharama hivyo NASSARİ kaliingiza taifa katika gharama ambaye ilikuwa na nia ya kujinufaisha tumbo lake.

hiyo gharama huwezi kuifananisha na watu ambao kwa hiari yao wanahami chama kingine. demokrasia inamahitaji mengi na moja ya mahitaji hayo ni watu. sehemu ambako watu wapo tayati kuifuata ni pazuri
Na Huyo aliyemnunua hajaiingizia nchi hasara kwa pesa alizompa pamoja na gharama za uchaguzi ,maana hizo pesa zilizotumika kumnunua na kurudia uchaguzi sio zake binafsi ni wananchi .
 
Uwe unatumia akili basi ccm inajali maslahi ya umma ? kuwavunjia wananchi nyumba zao zaidi ya elfu hamsini ni kujali maslahi ya umma ,kuiba tilioni 2.4 ni kujali maslahi ya umma ?ufisadi jeshi la polisi kama alivyoanisha cag ni kujali maslahi ya umma .kuharibu mzunguko wa pesa ,kusababisha biashara zifungwe nchi nzima ,kusababisha mizigo ipungue bandarani ,kutoajiri ,kutoongeza mshahara ndio kujali maslahi ya umma ?
 
Kumlalamika huyo mtu ulikuwa sawa, ila kuvutia huo upande mwingine ndio ulipoharibu
 
Unaacha kuwatumikia wananchi kisa maslahi yako binafsi? Joshua Nasari umewasikitisha sana wananchi wa Arumeru, umewafadhaisha na kuwasononesha. Watu wamekosa maneno ya kuelezea hisia za mioyo yao.

Muda ufaao ni ule wa kufanya maamuzi, hakika Joshua Nasari umewapa watu muda muafaka watanzania wa kuufikiria na kuamua juu ya upinzani, kwa hili nakupa kongole. Watanzania wanapata muda wa kuufiria upinzani kama sehemu ya watu kujitengenezea mazingira ya kujitumikia wao binafsi na si kuwatumia watu.

Mimi si mpinzani lakini kwa suala la Joshua Nasari nimevaa viatu vya waliompigia kura, hakika nimeona havinitoshi. Havinitoshi kwa sababu ni vikubwa sana, vinanipwaya. Watanzania walimvisha viatu vikubwa sana kijana Nassari, sasa vimempwaya.

Si kwa Nassari tu ambaye viatu alivyovaa vimempwaya, naweza kusema ni upinzani wote. Watanzania jitahidini kuvaa viatu vya saizi yetu, ni CCM tu ndio kiatu sahihi cha saizi yenu na hakipwai wala kubana. Ni kiatu kinachoongezeka ukubwa kwa kadiri ya mtu anavyokua.

Hili la Joshua Nassari naweza kusema ni moja ya mapito magumu watanzania wanayopitia kwa kuchagua upinzani ambao unakumbatia maslahi binafsi. Kijana Nassari huyo anakwea pipa kutimiza maslahi yake binafsi na kuacha maslahi ya Umma rehani.

Hili la Joshua Nassari limenipa funzo kubwa, napenda watanzania wajifunze pia kulinda maslahi yao kwa kukipigia kura chamachenye maslahi yao kwanza. Ni CCM tu chama chenye kujali maslahi ya umma wetu watanzania.
sisi wana arumeru mashariki wala hatuna tatizo, ni wewe tu na kuwashwa kwako.
 
Back
Top Bottom