jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kwa wenye kuipenda nchi yetu tutalichukulia jambo hili kwa umakini mkubwa.iweje chadema ilete wageni na kuwapa ajira katika masuala ya siasa au uchaguzi?
Ina maana nchi hii haina wataalamu wazalendo wa kuajiriwa na chadema?
Kulikuwa kuna Mkenya,Muangola na Mkorea!
Hii ni zaidi ya hatari.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ina maana nchi hii haina wataalamu wazalendo wa kuajiriwa na chadema?
Kulikuwa kuna Mkenya,Muangola na Mkorea!
Hii ni zaidi ya hatari.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!