Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,287
- 33,893
Naona kama imekuwa ni kawaida kwa wasichana wa mijini hasa kwenye mitandao ya kijamii kuwaita wanaume kuwa ni nyau. Utawasikia "Nyau wangu mkali balaa" hapo inamaanishwa mwanaume wake ni mkali.
Hili la kuita wanaume nyau limeanzia wapi?
Hili la kuita wanaume nyau limeanzia wapi?