Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,958
- 3,588
Nilikuwa napitia website ya tcu nkakutana na tangazo la scholarship za Algeria, moja ya vipengele ambavyo wao kama nchi wanaidhamini Tanzania kupeleka wanafunzi wao katika category ya religious affairs ni nafasi ya wanafunzi wakike kwa ajili ya kwenda kusomea uimam wa misikiti (imamat) na kupewa kibali yaani Bachelor degree(licence) in Imamat. Kozi inatolewa kwa muda wa miaka 3.
Em kwa wale wahusika na wajuvi wa hizi kazi mtoe maoni au kama kuna marekebisho ya uelewa turekebishane tafadhali maana mpaka sasa sijalielewa hili suala.
N.B: Kama huna unachokijua tafadhali pita kimya!!!!
Em kwa wale wahusika na wajuvi wa hizi kazi mtoe maoni au kama kuna marekebisho ya uelewa turekebishane tafadhali maana mpaka sasa sijalielewa hili suala.
N.B: Kama huna unachokijua tafadhali pita kimya!!!!