Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Mara huwezi kuongozwa Mara unaongozwa na anayefit
Kutokuelewa unataka kusema nini ndio kutojitambua kwenyewe
Acha hasira tu mkuu!ishatokea
Mara huwezi kuongozwa Mara unaongozwa na anayefit
Kutokuelewa unataka kusema nini ndio kutojitambua kwenyewe
Wife ana shughuli zake za biashara, sasa kutokana na kuwa nami nakuwa busy na mambo yangu, mara nyingi huwa hata siulizi pesa zake anafanyia nini.
Tuna magari mawili. Yeye dogo, mimi kubwa kiasi flani, SUV. Kutokana na kuwa huwa sifuatilii mambo madogo madogo hasa kuingilia biznesi yake, basi nadhani ana-take hiyo kama advantage.
Chukua ushauri huu kama bado haujatatua tatizo lakoKwanza pole sana. Mpaka hapo kuna tatizo kubwa kati yako wewe na mke wako. Lakini tatizo kubwa ni wewe ksbb ndio kichwa cha nyumba. Mambo yako ya kifamilia umeyajenga ovyo hapo kwako,umeyatengenezea mazoea mabaya. Hata kama hakuna maelewano mazuri wewe na mke wako hawezi kufanya vitu vikubwa namna hiyo.
Maneng inawezekana, mara nyingi mwanamme aweza asimshirikishe mkewe kuhusu jambo fulani lakini mwishowe akaja akamwambia likiwa limeshatoa matunda, yaani mwanamke anakuja kujua wakati nyumba imeshakamilika anaambiwa tunahamia, hapo hakuna ubaya, lakini angalia kwa makini alichokifanya huyu aliyefunguliwa mada, yaani unakopa hela zote hizo bila kumshirikisha mmeo !!,Mkuu kuwa mkwel..mbona na nyie ndo hamshirikishi wake zenu kwenye mishe zen??
Maneng inawezekana, mara nyingi mwanamme aweza asimshirikishe mkewe kuhusu jambo fulani lakini mwishowe akaja akamwambia likiwa limeshatoa matunda, yaani mwanamke anakuja kujua wakati nyumba imeshakamilika anaambiwa tunahamia, hapo hakuna ubaya, lakini angalia kwa makini alichokifanya huyu aliyefunguliwa mada, yaani unakopa hela zote hizo bila kumshirikisha mmeo !!, mbaya zaidi unachukua kadi ya gari bila ruhusa ya mmeo !!, mimi naona hii ni dharau, laiti ingekuwa hela kidogo unaweza kumvumilia, na huyu jamaa naye inaonekana amemzoesha mke wake, kwa sababu kama sio mazoea ya deko na dharau hawezi kufikia kupata Ujasiri huo, muwaheshimu tu waume zenu, hata MUNGU amewaagiza hivyo.
Wife ana shughuli zake za biashara, sasa kutokana na kuwa nami nakuwa busy na mambo yangu, mara nyingi huwa hata siulizi pesa zake anafanyia nini.
Tuna magari mawili. Yeye dogo, mimi kubwa kiasi flani, SUV. Kutokana na kuwa huwa sifuatilii mambo madogo madogo hasa kuingilia biznesi yake, haya yasiyo na msingi.
Exactly, kuna watu wao asubuhi jioni ni kuwaza kimaskini tu , yaani kila kitu hawaamini ,sasa ya nini ujichoshe kama unaona hiko kitu si side yako unasepa!
Mie naamini huwezi mtu mzima ukatunga story kama hii.
Kwanza pole sana. Mpaka hapo kuna tatizo kubwa kati yako wewe na mke wako. Lakini tatizo kubwa ni wewe ksbb ndio kichwa cha nyumba. Mambo yako ya kifamilia umeyajenga ovyo hapo kwako,umeyatengenezea mazoea mabaya. Hata kama hakuna maelewano mazuri wewe na mke wako hawezi kufanya vitu vikubwa namna hiyo.
Asante mkuu,jamaa kama yuko serious afuate hiyo bora amalizane nae tuJamaa umetoa ushauri mzuri sana, naunga mkono
Tatizo lako una majigambo na dharau, alichokifanya mkeo ni matokeo ya aina ya maisha unayoishi nae, nikwambie tu, huku mikoani wanawake wana heshima sana kwa waume zao, yaani achia mbali milioni 1 hata laki moja tu hawezi kukopa bila kupata idhini ya mumewe, na ndio maana ndoa nyingi zinadumu, mke akiwa na heshima kwa mumewe mitafaruku inapungua sana ndani ya familia, wewe mkeo amekopa 15m amechukua kadi ya gari bila kukutaarifu halafu unasema watu wanawaza kifukara !!, kama wewe si fukara kalipe hiyo hela ukae kimya, watu wanakuhurumia jinsi mkeo alichofanya sio kwamba wana wiviu na hizo gari zako, hata matajiri kama akina MO sidhani kama wake zao waweza kufanya alichofanya mkeo.Kuna watu wanawaza kifukara sana. Wanaamini wao walivyo ndivyo sote tulivyo.ukizungumzia tu gari wanachafukwa moyoni.sielewi kwa nini.mimi nmeandika kilichotokea kwangu.kama yeye haamini mimi hainithiri kitu as long as hatufahamiani.
Umepokea maushauri ya kutosha, sasa ni kazi kwako kuyachuja na kufanya maamuzi ya kuendelea kuishi maisha ya ukweli au kuigiza kuishi.Kuna watu wanawaza kifukara sana. Wanaamini wao walivyo ndivyo sote tulivyo.ukizungumzia tu gari wanachafukwa moyoni.sielewi kwa nini.mimi nmeandika kilichotokea kwangu.kama yeye haamini mimi hainithiri kitu as long as hatufahamiani.
Hii kitu ulimalizaje mkuu?Wife ana shughuli zake za biashara, sasa kutokana na kuwa nami nakuwa busy na mambo yangu, mara nyingi huwa hata siulizi pesa zake anafanyia nini.
Tuna magari mawili. Yeye dogo, mimi kubwa kiasi flani, SUV. Kutokana na kuwa huwa sifuatilii mambo madogo madogo hasa kuingilia biznesi yake,
Sio kihivyo.Kama unampenda utamlinda, hakikisha tu unamsaidia kumalizia huo mkopo. Huenda kunakitu cha maana amefanya kwa hiyo anataka akufanyie suprize mpenzi
Potelea pote.state agent,
Una roho mbaya kweli muone ulivyo, kwanini wewe usipande daladala yeye ukamuachia hiyo SUV.
Ukisikia anapewa lift huko na mwanamme mwezako utafurahia?
ShemdarlingSio kihivyo.
Weeeeh!!