Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
- Thread starter
- #181
Kuna maamuz nmeamua niyafanye ambayo atajutia na hatorudia tenaMkuu kuwa mwanaume acha kuwa mvulana . Yaani mimi wife akiwa tu na shida ata ya 5000 nikimwambia toa kwenye wallet hawez fungua wallet ataniletea nitoe mwenyewe nimpe sio afungue wallet yangu. Mwanamke unavyoishi nae ndivyo atakavyo kupelekesha. Wana testigi vitu waone teaction .
Kwa mfano apo kachujua laki 2 kwenye suruali bila ridhaa yako ebu niambie utachukua hatua gani kama mwanamme?