King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,343
Yaani Watanzania wengi tunapenda kutafuta kazi kumbe kuliko ilivo kutafuta tender, maana kutafuta kazi na tender ni vitu vina utofauti sehemu.
Kwani nini hivi? au watanzania mnapenda job security au dhamana..
Maana Wachina na watu nchi nyingine huko ndio nawaona wanapenda kutafuta tender.
Afu wakenya wenzetu wao wanapenda kutafuta tender pia.
Ila mi naona tender ni njia rahisi kuipata kuliko kazi, na kimsingi ukipata tender ndiyo unafanya kazi, tender ndiyo imeibeba kazi, tender ndiyo kubwa kwangu kuliko kazi.
Kuna watanzania wakisikia tender wanajua ni bahati toka mbinguni, kumbe ni umeona fursa ukaomba usolve problem au ukaitwa hapo tayari ni tender...
Kazi zipo ila kuzipata kazi ni shughuli, tufanye tender kwa kuomba au kuitwa ikiwa tunauwezo wa kukamilisha kazi.
Mi kwa mfano ninaombeni tender niwaletee buildings materials za majengo mfano cements, bati, tails n.k nawafanyia supply mlipo, mi nipo dodoma, arusha Kilimanjaro pia naweza patikana karibuni.
Tatizo watz kiswahili kinatuchanganya saa ingine tunakariri mambo, tuelewe kwanza nini maana ya tender... Asahteni
Kwani nini hivi? au watanzania mnapenda job security au dhamana..
Maana Wachina na watu nchi nyingine huko ndio nawaona wanapenda kutafuta tender.
Afu wakenya wenzetu wao wanapenda kutafuta tender pia.
Ila mi naona tender ni njia rahisi kuipata kuliko kazi, na kimsingi ukipata tender ndiyo unafanya kazi, tender ndiyo imeibeba kazi, tender ndiyo kubwa kwangu kuliko kazi.
Kuna watanzania wakisikia tender wanajua ni bahati toka mbinguni, kumbe ni umeona fursa ukaomba usolve problem au ukaitwa hapo tayari ni tender...
Kazi zipo ila kuzipata kazi ni shughuli, tufanye tender kwa kuomba au kuitwa ikiwa tunauwezo wa kukamilisha kazi.
Mi kwa mfano ninaombeni tender niwaletee buildings materials za majengo mfano cements, bati, tails n.k nawafanyia supply mlipo, mi nipo dodoma, arusha Kilimanjaro pia naweza patikana karibuni.
Tatizo watz kiswahili kinatuchanganya saa ingine tunakariri mambo, tuelewe kwanza nini maana ya tender... Asahteni