kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Habarini humu,
Nadhani lengo la jukwa hili ni kuwapa nafasi wale wenye matatizo ya kiafya kupata suluhisho la matatizo yao, lakini muda mrefu nimekuwa nafuatilia humu, mtu anaweza kuleta tatizo lake lakini bahati mbaya sana wengi hutoa majibu ya kupotosha kabisa, mtu anaweza kutoa maelezo au akatoa ''shule'' ya uwongo kabisa na inaweza isimpe suluhisho yule mwenye kutaka msaada.
Ushauri wangu, tuwape nafasi madaktari wetu watusaidie kupitia jukwaa hili sisi wengine ambao tupo kwenye taaluma zingine tuwe wauliza maswali, sio kuja kutoa kitu ulichosimuliwa au kugoogle, jua tu malaria ni ile ile ila sio wagonjwa wote wa malaria watapona kwa ALU, kuna factor nyingine nyingi za kuangalia, so sio kwasababu wewe ulipona malaria kwa coartem ndo umshauri mwingine atumie, sio always hivyo.
AHSANTENI
Nadhani lengo la jukwa hili ni kuwapa nafasi wale wenye matatizo ya kiafya kupata suluhisho la matatizo yao, lakini muda mrefu nimekuwa nafuatilia humu, mtu anaweza kuleta tatizo lake lakini bahati mbaya sana wengi hutoa majibu ya kupotosha kabisa, mtu anaweza kutoa maelezo au akatoa ''shule'' ya uwongo kabisa na inaweza isimpe suluhisho yule mwenye kutaka msaada.
Ushauri wangu, tuwape nafasi madaktari wetu watusaidie kupitia jukwaa hili sisi wengine ambao tupo kwenye taaluma zingine tuwe wauliza maswali, sio kuja kutoa kitu ulichosimuliwa au kugoogle, jua tu malaria ni ile ile ila sio wagonjwa wote wa malaria watapona kwa ALU, kuna factor nyingine nyingi za kuangalia, so sio kwasababu wewe ulipona malaria kwa coartem ndo umshauri mwingine atumie, sio always hivyo.
AHSANTENI