Hili joto kupikia jiko la gas kwenye chumba na sebule ni mateso

kwa nini unaajiri mdada kama una chumba na sebule tu?????? najiuliza tu
Usinikumbushe nilivyopokea vipande kwenye huu uzi
 
Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine.

Unaishi kwenye chumba na sebule. Sebule usiku ni chumba cha dada cha kulala na mchana ni sitting room, dining na jiko. Hapa una wageni na nyumba haina ceiling board. Lile jua la saa saba-nane mchana ni kama mko kwenye tanuri.
Pole Sana!!
 
Huku kwetu mfereji wa maji ya bafuni unapita dirishani, kufungua milango na madirisha kuna leta kero ya nzi na harufu.
Ahaah, hayo maisha Kama ya jela aisee, vyoo havina milango watu wanashusha mizigo,kwa pembeni Wengine wamekaa wanakula,Wengine wanasokota bange!
Maisha ya tandale na mbagala hayo
 
Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata hivyo joto unalopambana nalo kwenye chumba wakati unapika ni kadhia nyingine.

Unaishi kwenye chumba na sebule. Sebule usiku ni chumba cha dada cha kulala na mchana ni sitting room, dining na jiko. Hapa una wageni na nyumba haina ceiling board. Lile jua la saa saba-nane mchana ni kama mko kwenye tanuri.
Hama tafuta Nyumba yenye ceiling board kwani unakaa bure
 
Ni kumshukuru Mungu na kupambana ili uweze kujenga Nyumba yako, bora wewe Chumba na Sebule mwingine ni Chumba kimoja tu kila kitu hapo hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom