gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Yule shabiki Maandazi yule ametusababishia matatizo makubwa sana, yeye mjinga sana, yeye aliiita timu yake UTOPOLO FC, ona sasa jina limetugeukia wenyewe! na yeye kapotea katuachia balaa
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!
Yanga ni brand kubwa sana! haiwezi kuharibiwa na watu wajinga wajinga!