mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,628
- 8,391
Nimefikiria hatari ya Moto! Ikitokea magari yanaungua yakiwa kwenye msongamano!
Kuna kila sababu ya kuisukuma Serkali kuiondoa haraka, kero ya Msongamano wa magari hasa Asubuhi na jioni kwa kuanzisha haraka Usafiri wa Train. Hasa wakati wa asubuhi na jioni. Kutoka Pugu hadi Station, kutoka Ubungo hadi Station, Kutoka Mbagala hadi mjini, na Ferry boat kutoka Kunduchi hadi ferry, Itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza msongamano wa Magari, na kutuokoa na janga linalo tunyemelea! Tujifunze kutokana na Makosa, kabla hatuja unda Tume!
Kuna kila sababu ya kuisukuma Serkali kuiondoa haraka, kero ya Msongamano wa magari hasa Asubuhi na jioni kwa kuanzisha haraka Usafiri wa Train. Hasa wakati wa asubuhi na jioni. Kutoka Pugu hadi Station, kutoka Ubungo hadi Station, Kutoka Mbagala hadi mjini, na Ferry boat kutoka Kunduchi hadi ferry, Itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza msongamano wa Magari, na kutuokoa na janga linalo tunyemelea! Tujifunze kutokana na Makosa, kabla hatuja unda Tume!