Hili janga la kufunga na kufungua nchi dawa yake tutaipata lini na wapi?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,494
2,040
Nikiri wazi kuwa nchi yetu inajichanganya sana kwenye mwendelezo wa uongozi wake. Ukiangalia tunavyoongozwa ni kana kwamba tumeongozwa na vyama tofauti vya kisiasa, wakati inajulikana fika kwamba tangu tupate uhuru tumeongozwa na chama hichohicho, sana sana kilijibadilisha jina.

Takribani Kila awamu imekuja na mtazamo unaokinzana na awamu iliyotangulia, ingawa kilicho nisukuma kuandika hapa ni huu mtiririko unavyokwenda tusipo upatia dawa utatuchelewesha sana kama nchi.

Alipoingia madarakani rais wa awamu ya pili alisema anafungua nchi, akimaanisha aliyemtangulia aliifunga.

Rais aliyemfuatia wa tatu akaifunga tena Kwa miaka yake 10 alipomaliza tu aliyemfuatia yaani rais wa awamu ya nne akaifungua kweli kweli nchi ikawa wazi balaa.

Ndipo akaja huyu wa awamu ya tano huyu ndo alikomesha aliifunga si kuifunga tu yeye aliifungia kabisa, na ni kipindi cha miaka mitano pekee sijui kama angemaliza kumi hali ingekuwaje.

Alipoondoka wa awamu ya tano amekuja huyu wa awamu ya sita naye karudi kuifungua nchi, Kwa dalili za awali za ufunguaji huu unaonyesha ataifungua Kwa kiwango kinachomlazimu anayemfuatia aifunge tena.

Huu utaratibu utatuchelewesha sana inamaana nchi yetu itakuwa maarufu sana Kwa kufunga na kufungua nchi.
 
Atakayeifungua kwa katiba mpya ndio ataacha legasi ya kudumu
 
Nikiri wazi kuwa nchi yetu inajichanganya sana kwenye mwendelezo wa uongozi wake. Ukiangalia tunavyoongozwa ni kana kwamba tumeongozwa na vyama tofauti vya kisiasa, wakati inajulikana fika kwamba tangu tupate uhuru tumeongozwa na chama hichohicho, sana sana kilijibadilisha jina.

Takribani Kila awamu imekuja na mtazamo unaokinzana na awamu iliyotangulia, ingawa kilicho nisukuma kuandika hapa ni huu mtiririko unavyokwenda tusipo upatia dawa utatuchelewesha sana kama nchi.

Alipoingia madarakani rais wa awamu ya pili alisema anafungua nchi, akimaanisha aliyemtangulia aliifunga.

Rais aliyemfuatia wa tatu akaifunga tena Kwa miaka yake 10 alipomaliza tu aliyemfuatia yaani rais wa awamu ya nne akaifungua kweli kweli nchi ikawa wazi balaa.

Ndipo akaja huyu wa awamu ya tano huyu ndo alikomesha aliifunga si kuifunga tu yeye aliifungia kabisa, na ni kipindi cha miaka mitano pekee sijui kama angemaliza kumi hali ingekuwaje.

Alipoondoka wa awamu ya tano amekuja huyu wa awamu ya sita naye karudi kuifungua nchi, Kwa dalili za awali za ufunguaji huu unaonyesha ataifungua Kwa kiwango kinachomlazimu anayemfuatia aifunge tena.

Huu utaratibu utatuchelewesha sana inamaana nchi yetu itakuwa maarufu sana Kwa kufunga na kufungua nchi.
Huko ni kukosa utaratibu, msimamo na sera za kudumu, kwa kifupi tu niseme ni uthibitisho wazi nchi haina uongozi madhubuti.
 
Kufungua nchi inamaanisha nini? Kuuza kila kitu kwa Rostam, kinana, utajiri wa Tanzania kubinafshishwa kwa familia chache.

Kukopa hovyohovyo, mikataba ya ovyo, kuchoma masoko, usalama binafsi kupungua, ajali kuongezeka, mfukumuko wa bei kila sehemu, mfumuko wa bei kwenye ujenzi, kilimo, imports, exports, ukiritimba wa kila sehemu. Unanijua mimi ni nani imerudi?
 
Kufungua nchi inamaanisha nini? Kuuza kila kitu kwa Rostam, kinana, utajiri wa Tanzania kubinafshishwa kwa familia chache.

Kukopa hovyohovyo, mikataba ya ovyo, kuchoma masoko, usalama binafsi kupungua, ajali kuongezeka, mfukumuko wa bei kila sehemu, mfumuko wa bei kwenye ujenzi, kilimo, imports, exports, ukiritimba wa kila sehemu. Unanijua mimi ni nani imerudi?
Hapa ndio tuamue kwamba tuende na utaratibu upi huu wa kufungua nchi au wa kuifunga?
 
Hapa ndio tuamue kwamba tuende na utaratibu upi huu wa kufungua nchi au wa kuifunga?
Tuifungue nchi kwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, tupunguze kodi. Tuongeze usalama, tuchape kazi, tutafute masoko ya kilimo nje kwa wakulima wetu. Tupunguze bei za mbolea,pembejeo.
 
Nikiri wazi kuwa nchi yetu inajichanganya sana kwenye mwendelezo wa uongozi wake. Ukiangalia tunavyoongozwa ni kana kwamba tumeongozwa na vyama tofauti vya kisiasa, wakati inajulikana fika kwamba tangu tupate uhuru tumeongozwa na chama hichohicho, sana sana kilijibadilisha jina.

Takribani Kila awamu imekuja na mtazamo unaokinzana na awamu iliyotangulia, ingawa kilicho nisukuma kuandika hapa ni huu mtiririko unavyokwenda tusipo upatia dawa utatuchelewesha sana kama nchi.

Alipoingia madarakani rais wa awamu ya pili alisema anafungua nchi, akimaanisha aliyemtangulia aliifunga.

Rais aliyemfuatia wa tatu akaifunga tena Kwa miaka yake 10 alipomaliza tu aliyemfuatia yaani rais wa awamu ya nne akaifungua kweli kweli nchi ikawa wazi balaa.

Ndipo akaja huyu wa awamu ya tano huyu ndo alikomesha aliifunga si kuifunga tu yeye aliifungia kabisa, na ni kipindi cha miaka mitano pekee sijui kama angemaliza kumi hali ingekuwaje.

Alipoondoka wa awamu ya tano amekuja huyu wa awamu ya sita naye karudi kuifungua nchi, Kwa dalili za awali za ufunguaji huu unaonyesha ataifungua Kwa kiwango kinachomlazimu anayemfuatia aifunge tena.

Huu utaratibu utatuchelewesha sana inamaana nchi yetu itakuwa maarufu sana Kwa kufunga na kufungua nchi.
Kuna upande unaamini kwenye kufunga na mwingine kwenye kufungua hasa ule wa Mud
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom