Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Eti wanaume walevi wengi wao hukojoa kitandani wakati wamelala na ulevi wao?
Nimepeia kwenye kijiwe kimoja hapa K/ndoni B nikakuta madereva taxi wanapeana changamoto juu ya swala hili!!!
Wana JF hili jambo lina ukweli wowote?
Na kama ni kweli waliopo kwenye ndoa wana lihandle vip hili suala?
Nimepeia kwenye kijiwe kimoja hapa K/ndoni B nikakuta madereva taxi wanapeana changamoto juu ya swala hili!!!
Wana JF hili jambo lina ukweli wowote?
Na kama ni kweli waliopo kwenye ndoa wana lihandle vip hili suala?