love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,529
- 2,895
Speed yake ni kali sana Gesi, bando, tozo, mbolea, mafuta, vifaa vya ujenzi mwambie apunguze tutafika tumechoka sanaaa...Samia, kiutendaji amemwacha mbali sana Magufuli. Magufuli alikuwa na speed kubwa katika propaganda, na siyo katila utendaji. Mimi siyo shabiki wa Samia, lakini ukimlinganisha Samia na Magufuli, Samia pamoja na mapungufu yake...