Navyojua vitu ambavyo serikali inavipa kipaumbele ni Kilimo,Elimu na Afya
Hivo material iliyo related na Elimu e.g Tablet na laptop,Kilimo e.g Mbegu au tractor na vitu vya afya e.g Stethescope/thermometer etc havitozwi ushuru hivi hivi nsijue kama umenunua kibiashara e.g 10pcs za Tablet hapa wanaweza kukutoza ila for personal use au instituon use havitozwi
Wameelezea kwenye tovuti ya TRA lkn sidhani kama simu ina qualify by any means kuwa educational material ndo maana watu wanapigwa kodi
so kwa mfano kama ni simu inatakiwa kulipiwa asilimia ngapi ya bei