Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,652 13,470 Dec 14, 2014 #1 hivi jamaa alirudi nalo jana home au aliliacha Taifa?!
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 48,890 54,098 Dec 14, 2014 #2 Huyu mwenye gari ni "NYONGO MKAA NA INI"
ozigizaga JF-Expert Member Sep 6, 2013 617 1,510 Dec 14, 2014 #3 Jana hakwenda tulikuwa nae hapa river road tunaangalia kwa TV.
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,652 13,470 Dec 14, 2014 Thread starter #4 ozigizaga said: Jana hakwenda tulikuwa nae hapa river road tunaangalia kwa TV. Click to expand... du na hakuwa nalo hapo nlipokuwa mnaangalia?!na jaribu kufikiri unahitajika ujasiri wa aina gani kupita nalo mitaani kwa siku kama ya jana jioni!
ozigizaga said: Jana hakwenda tulikuwa nae hapa river road tunaangalia kwa TV. Click to expand... du na hakuwa nalo hapo nlipokuwa mnaangalia?!na jaribu kufikiri unahitajika ujasiri wa aina gani kupita nalo mitaani kwa siku kama ya jana jioni!
ozigizaga JF-Expert Member Sep 6, 2013 617 1,510 Dec 14, 2014 #5 Lilikwepo sema ndipo anapopaki. Angekuja nalo taifa nahisi angetaman alibebe katika Rambo nyeusi ya mia 500.
Lilikwepo sema ndipo anapopaki. Angekuja nalo taifa nahisi angetaman alibebe katika Rambo nyeusi ya mia 500.
M makubazi JF-Expert Member Feb 15, 2013 2,047 362 Dec 14, 2014 #6 Jamani kutisa kwa zamu au kwa msimu
Miss Neddy JF-Expert Member Nov 3, 2013 14,681 8,707 Dec 14, 2014 #7 jamaa namjua huyo anakaa mitaa flani hivi